• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RASIMU YA BAJETI YAPITA KWA MUJIBU WA SHERIA

Imewekwa Tarehe: January 13th, 2022

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe leo tarehe 13.1.2022 limepitisha kwa kauli moja  rasimu ya Bajeti ya Shilingi Billion 48,901,485,555.00 kwa mwaka wa fedha 2022/23 huku makusanyo kutokana na vyanzo vya ndani yakipanda mpaka kufikia shilingi Billion 6,131,460,258.00 mbele ya makusanyo ya msimu uliopita ya shilingi Billion 5,306,258756.00 ikiwa ni ongezeko la  shilingi 799,885495.00 sawa na asilimia 15.07%Makusanyo ya ndani yameongezeka kutokana  makisio kwenye vyanzo vifuatavyo, Ada za huduma za afya, ada za shule na michango, Adhabu za ukiukwaji sheria ndogo za Halmashauri, Ushuru wa huduma na ushuru wa mazao ya kilimo.

Bajeti hii itaenda kuinua na kuboresha miundombinu ya  Biashara na masoko pamoja na ukusanyaji wa mapato, Kuboresha miundombinu ya elimu na afya, Kuboresha miundombinu ya uwekezaji pamoja na kuendeleza maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji ili kukuza uchumi wa jamii na taifa kwa ujumla na kuboresha mazingira mazuri ya kufanyia kazi kwa watumishi.Awali akiwasilisha rasimu hii Kaimu Afisa Mipango Wilaya Bwana Shujaa Hassan ameeleza kuwa mpaka kufikia Disemba 2021 Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi 27,484,471,936.84 sawa na asilimia 52.22% ya makisio yote.

Makusanyo hayo yamesaidia kufanikisha  mambo yafuatayo:

1.ujenzi wa kituo cha afya kinyala

2.Ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa katika shule ya msingi Ilima, Lyebe, kinyika, na Sekondari ya Masukulu pamoja na Kibisi/Kyimo

3.Kuanzisha kitalu cha miche ya miti ya kisasa na uboreshaji wa kivutio cha Ziwa kisiba/Masoko

4. Ujenzi wa kituo cha afya  kata ya Ndanto na ukamilishaji wa vyumba madarasa katika shule ya sekondari Kalengo, Itagata, na Ndembela one

5.Halmashauri imebadilisha vyeo (recategorization) watumishi 1306. 

6.Halmashauri imetoa mkopo kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu wenye thamani ya shilingi 251,000,000,.00

7. Halmashauri imefanikiwa kuondoa mrundikano wa taka mjini na baadhi ya vijiji/ vitongoji

8. Kupunguza vifo vya mama na mtoto kutoka vifo 10 mwaka 2019 mpaka kufikia vifo 6  Disemba mwaka 2021

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa