• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

PROGRAMU JUMUISHI YA MTOTO YAZINDULIWA

Imewekwa Tarehe: October 27th, 2023

Programu Jumuishi ya  Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto chini ya miaka ( 8) imezinduliwa leo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe


Programu hii inatekelezwa kwa muda wa miaka mitano 2021/22-2025/26


Mpango huu umelenga kutatua changamoto za ukuaji na maendeleo ya  ya watoto walio na umri wa miaka 0-8


Programu itahakikisha inatoa mchango katika kufanikisha Mpango wa taifa wa Maendeleo wa miaka mitano 2021/22-2025/26 na hivyo kusaidia kulifikisha taifa katika uchumi wa kati.


Programu imejikita katika mambo matano katika kuhakikisha dira ya taifa inafikiwa  ipasavyo.


LISHE: Kuhakikisha watoto wanapata chakula chenye viini lishe na hivyo kuwajengea afya bora ya akili sambamba na kuwaepusha na Udumavu pamoja na Utapiamlo.


MALEZI YENYE MWITIKIO: Kuhakikisha mtoto anapata malezi bora na mzazi kuitikia hisia za mtoto mara kwa mara na hivyo kutoa msaada wa karibu kwa ufanisi mkubwa.


ELIMU YA AWALI: Kuhakikisha mtoto anapata elimu ya awali  na kupewa stadi muhimu kwa ajili ya makuzi ya mtoto pamoja na michezo mbalimbali ili kumjengea uchangamshi na hivyo kuboresha ubongo na misuli ya mtoto.


ULINZI: Kuhakikisha mtoto anapata ulinzi wa kutosha dhidi ya vitendo vya ukatili wa kisaikolojia na kimwili. Vitendo vingine kama ubakaji, ulawiti, matusi, adhabu, kutopewa chakula, na usalama wa mtoto  akiwa barabarani,  na dhidi ya wanyama wakali.


AFYA: Kuhakikisha mtoto anapata matibabu mara kwa mara ikiwemo chanjo na vipimo mbalimbali vya afya ya mwili na hivyo kumjengea mtoto uimara na utimamu wa mwili.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa