• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

NAIBU WAZIRI TAMISEMI APONGEZA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Imewekwa Tarehe: December 20th, 2021

Naibu Waziri TAMISEMI Mhe. David Silinde amefanya ziara katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe leo asubuhi tarehe 20.12.2021  Kwa kukagua miradi ya Ujenzi wa vyumba vya Madarasa inayotekelezwa chini ya Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano ya COVID 19.

Katika ziara hiyo ametembelea  shule ya Sekondari Kinyala na  Ndembela one zikiwa ni kati ya shule 18 zinazonufaika na mpango huu ambapo jumla ya vyumba 55 vinajengwa kwa thamani ya shilingi Billion 1.1

Akiwa katika shule ya sekondari Kinyala Mhe. Silinde amesifu mradi unavyoendelea kutekelezwa kwa viwango vinavyokubalika huku akiagiza kumilisha ujenzi huo kabla ya Disemba 31 mwaka huu.

Aidha amewapongeza wakazi wa kata ya Makandana kwa kuanzisha shule mpya ya Sekondari  Ndembela one na kuijenga kwa viwango stahiki huku akiahidi serikali kuendelea kuleta  fedha nyingine kwa ajili ya vyumba vya madarasa na miundombinu mingine.

Wakati huohuo ameagiza uongozi wa kata na  shule hiyo kuendelea kutunza majengo ya shule hiyo ili yaendelee kunufaisha vizazi vijavyo ambapo ameongeza kuwa sehemu nyingi hapa nchini baada ya miradi kukamilika majengo yamekuwa yakiachwa bila kukarabatiwa na hivyo kukosa ubora wake.

Hata hivyo Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt. Vicent Anney ameahidi mbele ya Naibu Waziri kuwa miradi yote itakamilika kwa wakati huku akiiomba Serikali kuipa kipaumbele Shule Mpya ya Sekondari Kyobo kwa Kuipatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa  Nyumba za walimu kutokana na changamoto ya  umbali  na hivyo kuwa na mazingira rafiki ya kuishi na  kufundisha.

Naibu Waziri ataendelea na ziara katika Halmashauri ya Busokelo na Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa