• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

NAIBU WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA RUNGWE

Imewekwa Tarehe: February 20th, 2024

BITEKO AFANYA ZIARA RUNGWE

Naibu Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dotto Biteko amefanya ziara leo tarehe 20.2.2024 na kukagua miradi ya uendelezaji wa umeme wa joto ardhi katika eneo la Kyejo Mbaka  pamoja Ngosi ikiwa ni hatua ya kuongeza upatikanaji wa umeme nchini Tanzania.


Mhe. Biteko ameridhishwa na kiwango cha ujenzi kilichofikiwa na kuwa miradi hii itakapokamilika itaongeza kiwango cha upatikanaji wa umeme nchini na hivyo kuongeza kiwango cha Uchumi kwa wananchi


Mradi wa Kyejo unatarajia kuzalisha kiwango cha Megawati 60 huku Ngosi iliyopo kata ya Isongole ikitoa Megawati 70


Mhe. Biteko amewatoa hofu watanzania dhidi ya kukatika katika kwa umeme na kuwa hali hii inatokana na ukarabati wa mitambo ya kuzalisha umeme ambapo kwa sasa hatua nzuri imefikiwa huku Mashine zimeanza kufungwa katika Bwawa la Nyerere ambalo litaondoa adha yote ya uhaba wa umeme nchini.


Aidha ameeleza kuwa Serikali imekuwa ikitekeleza miradi mingine ya umeme kama  ,gesi,  pamoja upepo ambayo yote itaongeza umeme hasa vijijini ambako umeme umepelekwa  kuchachusha uchumi wa wananchi kupitia Mpango wa REA.


Katika hatua nyingine amewahimiza Wakazi wa Wilaya ya Rungwe kujitokeza kwa wingi katika zoezi la Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, huku wakidumisha amani na utulivu silaha waliyotuachia waasisi wa taifa hili.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • FURSA YA UTALII RUNGWE

    June 07, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI VYANZO VYA MAJI YAHAMIA KIWIRA

    May 31, 2025
  • UTEKELEZAJI WA ILANI WAWASILISHWA

    May 30, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAKAGUA MIRADI

    May 30, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa