• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MTANDAO KUMULIKA VIJANA BALEHE DHIDI YA HIV

Imewekwa Tarehe: March 20th, 2024

Mtandao wa Wanawake  wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (National Networking Women Living With HIV in Tanzania) umewakutanisha vijana mashujaa wa mapambano dhidi ya ugonjwa huo kutoka katika vijiji sita katika kata ya Kisondela, Kyimo, Isongole, Makandana, na  Ndanto.


Dhima kubwa ya mtandao huu ni kuhakikisha unawafikia vijana balehe ukilenga kutoa elimu ya afya ya uzazi na kinga dhidi ya maambukizi ya HIV.


Akitoa takwimu za maambuki ya UKIMWI Katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe; Mratibu  wa Halmasahauri Bwana George Mashimba ameeleza kuwa jumla ya wakazi 12,158 wanaishi na Virusi vya UKIMWI.


Kati ya hao wakazi 659 ni vijana huku Wanawake wakiwa 467 na Wavulana 192.

Hatua hii ya kuongezeka kundi kubwa la vijana wanawake limeusukuma mtandao huu kuona namna bora na sahihi ya kulinasua kundi hili muhimu kwa maendeleo ya taifa.


Mradi utawafikia vijana  balehe wanawake wanaoishi katika mazingira hatarishi mathalani wale wanaojiuza katika maeneo mbalimbali na kumbi za starehe .


Mkurugenzi wa Mradi huu Bi. Veronika Lyimo ametaja mikakati ya kuwafikia vijana hawa kuwa ni pamoja kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na mashujaa wawili wanaoishi na Virusi vya Ukimwi huku wakitoa elimu namna ya kujikinga na Maambukizi, matumizi ya dawa za kufubaza virusi, pamoja Ulaji wa chakula lishe kila wakati.


Vijana hawa 12 katika vijiji sita watasaidia kuwafikia wanawake wengine zaidi ya 300 katika wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa