• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MRADI WA PS3+ WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI KATA YA NDANTO

Imewekwa Tarehe: May 11th, 2022

Mafunzo ya kuwajengea uwezo Viongozi katika kata ya Ndanto yameendelea kwa wiki moja mfululizo.

Mafunzo hayo yanayotolewa na mradi wa  PS3+ Chini ya wizara ya TAMISEMI kwa ufadhili wa watu wa Marekani yamelenga kuwajengea uwezo Watendaji na Wenyeviti wa Vijiji, Walimu  wakuu na Mkuu wa  shule na kamati zake,wakuu wa vituo vya kutolea huduma za afya na kamati zake .

Kata ya ndanto ina jumla ya vijiji vinne, shule za msingi tano, sekondari ya umma moja na zahanati mbili.

Mafunzo hayo pia yameendelea pia kwa watendaji wote katika kata zote 29

Katika mafunzo hayo viongozi wamejengewa uwezo dhidi ya utawala bora ikilenga namna ya uendeshaji wa vikao, uandishi wa mihutasari ya vikao, Ushiriki wa wananchi katika kuandaa bajeti, Kusomewa mapato na Matumizi, Matumizi ya mbao za matangazo, radio za kijamii, Tovuti ya Halmashauri yakiwa kama majukwa mahususi ya kutolea taarifa za maendeleo katika maeneo yao.

Mafunzo hayo yanatarajiwa kufungwa siku ya jumamosi tarehe 13.05.2022 na baada ya hapo yataendelea katika vijiji vyote katika kata 29 kwa watendaji wa kata kutoa mafunzo wakishirikiana na Watendaji kutoka  ngazi ya Halmashauri

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZILIZOPOKELEWA KWA KIPINDI CHA MWEZI JULAI, 2020 HADI FEBRUARI, 2021 March 17, 2021
  • TANGAZO LA ZABUNI March 30, 2021
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • MRADI WA PS3+ WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI KATA YA NDANTO

    May 11, 2022
  • KIJIJI CHA NZUNDA KATA YA NDANTO MFANO WA KUIGWA

    May 10, 2022
  • WAKAZI WA KATA YA NDANTO WANANUFAIKA NA KILIMO CHA VIAZI

    May 09, 2022
  • HLAMASHAURI YAVUKA MALENGO ROBO YA TATU

    April 29, 2022
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa