• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MRADI WA MALISHO YA MIFUGO WAKABIDHIWA RASMI

Imewekwa Tarehe: November 13th, 2021

Chuo kikuu cha kilimo sokoine kilichopo mkoani Morogoro kimekabidhi leo tarehe 12.11.2021 mradi wa malisho ya ng'ombe (Bracharia) kikilenga kuongeza kiwango cha uzalishaji wa maziwa sambamba na kuinua kipato kwa wakulima.Makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo cha kilimo na mifugo kijiji cha Ilenge kata ya kyimo.

Akipokea mradi huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Afisa kilimo na uvuvi Bwana Augustino Lawi  ameomba wafugaji katika wilaya ya Rungwe kuendelea kutumia malisho yaliyoboreshwa ili kujenga lishe bora kwa wanyama na kueneza elimu waliyoipata kwa wafugaji wengi zaidi ili kuongeza kiwango cha maziwa na nyama na hivyo Rungwe kuwa kitovu cha mifugo bora mkoani Mbeya na taifa kwa Ujumla.

Hata hivyo Mratibu wa mradi wa InnovAfrika Profesa Dismas Mwaseba ameshukuru wafugaji kwa ushirikiano waliouonesha na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano mara utakapohitajika

Katika makabidhiano hayo wafugaji kadhaa walishuhudia ambapo Bwana Hosiana Mwakanjwanga mfugaji kutoka Nsongwa amearifu kuwa baada ya kuanza kutumia majani hayo uzalishaji wa maziwa umeongezeka kwa wastani wa lita 20-25 kwa ng'ombe mmoja tofauti na awali ambapo alikamua lita 10 tu kwa siku.

Mbegu za malisho haya zinapatikana katika ofisi za kilimo na mifugo Halmashauri ya wilaya ya Rungwe huku vipando vikipatikana pia katika shamba darasa lililopo katika kituo cha kilimo na mifugo Ilenge, Shamba la malisho ya mifugo kalalo kata ya Lufingo na kupitia  mashamba ya wafugaji mbalimbali walioenea kona zote wilaya ya Rungwe

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa