• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ajitambulisha kwa Wananchi wa Rungwe

Imewekwa Tarehe: September 13th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Albert Chalamila afanya Ziara katika Wilaya ya Rungwe Leo tarehe 13/09/2018. Ziara hiyo ikiwa ni ya kwanza katika Wilaya ya Rungwe tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Mh.John Joseph Magufuri mnamo tarehe 29/07/2018.

Ziara hiyo alianza kwa kuongea na Watumishi wa Umma waliopo Makao Makuu ya Wilaya ya Rungwe,mkutano huo ulifanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Tukuyu mjini. Baada ya kumaliza mkutano huo na Mkuu wa Mkoa na viongozi wa ngazi mbalimbali wa Wilaya walienda kukagua mradi wa ujenzi na ukarabati wa Chuo cha Ualimu Mpuguso, mradi huo umegharimu kiasi cha tsh.bilioni 9.6.

Aidha baada ya kumaliza ukaguzi huo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alifanya mkutano wa hadhara na Wananchi katika Uwanja wa Tandale uliopo Tukuyu mjini ambapo katika mkutano alijtambulisha na kuwasisitiza kila mmoja anapaswa kuwajibika vema katika nafasi yake. Aidha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aliwasihi wananchi kufikisha malalamiko,kero,maswali na mahitaji katika ofisi za umma ikiwa ni pamoja na Ofisi yake.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa katika mkutano huo aliwataka na kuwaomba Wananchi wawe wanajitokeza katika mkutano hiyo ili kutoa taarifa,malalamiko,maoni ,maswali ili kupata majibu sahihi kutoka kwake.

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alisisitiza Wananchi kuwa na ushirikiano na viongozi katika kujenga na kuleta maendeleo katika  Wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa