• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MKUU MPYA WA WILAYA YA RUNGWE AWASILI

Imewekwa Tarehe: January 30th, 2023

KARIBU RUNGWE MHE.JAFFAR HANIU


Mkuu Mpya wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar amekabidhiwa rasmi jukumu la kuongoza Halmashauri mbili ambazo ni Rungwe na Busokelo.


Hizi ndizo zinaunda Wilaya ya Rungwe huku Bosokelo ikiwa na kata 11 tarafa Moja na Rungwe ikiwa na kata 29 na tarafa tatu.


Akikabidhi Ofisi, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Dkt Vicent Anney  ambaye Sasa amehamia Wilaya ya Bunda Mkoani mara ameeleza mafanikio kadhaa yaliyopatikana.


1.Kumeanzishwa viwanda vidogo na vidogo vya kuchakata bidhaa za kilimo na Mifugo.


2. Ufaulu umeongezeka kwa shule za Msingi na Sekondari huku Rungwe ilifaulisha mpaka kufikia asilimia 93.7%.


3. Uandikishaji wa wanafunzi kwa darasa la awali na darasa la kwanza umepanda mpaka kufikia asilimia 100% mpaka kufikia January 30  mwaka huu.


3.Upatikanaji wa maji safi na salama  umeongezeka akiutaja Mradi wa Masoko group unaoenda kuzinufaisha kata zaidi ya tisa ikiwemo Tukuyu mjini.


4.Vyumba vya madarasa vimeongezeka ambapo kwa Busokelo na Rungwe  ambapo mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2022 jumla ya vyumba 20 vilijengwa.


5. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ilipanda mpaka kufikia nafasi ya 8 kati ya Halmashauri bora nchini


6. Miundombinu ya Barabara, na umeme imeendelea kuimarishwa .


Naye Mkuu Mpya wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu ameomba ushirikiano ili kuendeleza mafanikio yaliyofikiwa na mtangulizi wake sambamba na utekelezaji wa Ilani ya Chama tawala na taifa Kwa ujumla.



Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa