• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MINYOO TEGU YATEGULIWA RUNGWE

Imewekwa Tarehe: May 25th, 2023

MINYOO  TEGU YATEGULIWA RUNGWE


Mradi wa Cystinet Afrika kupitia Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA) umewasilisha leo matokeo ya utafiti wa Minyoo Tegu katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.


Utafiti umefanyika katika vijiji vinavyopatikana katika kata ya Mpuguso na Kisiba.


Wilaya zingine zilizotafitiwa ni pamoja na Mbinga, Kongwa, Mpwapwa, Babati na Nyasa.


Minyoo tegu inayopatikana katika mwili wa Binadamu na Nguruwe huambukizwa   kwa mnyoo kutoka kwa binadamu kwenda kwa nguruwe kutokana na  kula kinyesi cha binadamu au mabaki ya chakula kuliwa na nguruwe au binadamu kula nguruwe aliyeathiriwa na minyoo hii.


Utafiti umebaini kuwa ukosefu wa elimu na kushindwa kubadili tabia hatarishi imekuwa kichocheo cha maambuki ya minyoo hii.


Minyoo hiyo imekuwa ukiathiri sehemu ya ngozi ya binadamu na sehemu ya ubongo wa binadamu na kusababisha kifafa.


Utafiti uliofanywa nchini Tanzania umebaini kuwa mnamo mwaka 2012 Tanzania ilitumia takriban dola za kimarekani  Million 5 kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa kifafa kinachotokana na minyoo ya Tegu na dola 3 kwa ajili ya gharama ya kuteketeza nyama ya nguruwe yenye vimelea vya minyoo hiyo.


Sababu zifuatazo ni kichocheo cha minyoo tegu:


1.Kunywa maji yasiyo salama

2.Kaya kutokuwa na choo au choo kisicho salama.

3.Kujisaidia maeneo yaliyobaki


4.Kutonawa maji kabla ya kula chakula baada ya kutoka chooni.


5.Kutoosha mboga na Matunda kabla ya kula.


6.Kutopika nyama ya nguruwe ipasavyo


7.Uchinjaji wa nyama ya nguruwe bila kibali cha mtaalamu.


8.Kuuza nyama ya nguruwe yenye minyoo ya Tegu.


Mamlaka na jamii zimeendelea kukumbushwa kuhakikisha taratibu na kanuni za usafi zinafuatwa sambamba uzingatiaji wa ulaji na usambazaji wa nyama ya nguruwe kwa kufuata maelekezo ya watalamu wa afya na mifugo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa