• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Mikopo ya leta amani kwa kina mama katika familia

Imewekwa Tarehe: February 5th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe inatakeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi  katika uwezeshaji wa wanawake, vijana na walemavu kiuchumi kwa kuwapatia mikopo isiyokuwa na riba kuanzia mwaka wa fedha 2018/2019. Masuala ya uwezeshaji wananchi  kiuchumi ni moja ya maeneo ya msisitizo katika malengo ya maendelo endelevu ya hadi mwaka 2030 katika ushiriki wa wananchi katika shughuli za uchumi. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  itaendelea kuweka mikakati ya kuwezesha wanawake, vijana na walemavu kiuchumi.

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imetoa mkopo kwa  Robo ya pili Octoba –Desemba 2018/2019 tarehe 5/2/2019 katika Ukumbi wa Halmashauri mkopo huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bi Loema I.Peter baada ya kukagua  kazi zinazofanywa na wanavikundi katika uendeleza wa viwanda vidogovidogo kisha ukabidhi mikopo  kwa vikundi  13 vinavyojishughulisha na viwanda vidogo vidogo jumla ya  Tshs 74,900,000/= Idadi ya wanufaika wa mkopo huu ni 294, pamoja na shughuli hiyo ya utoaji mikopo pia aliwakabidhi wajasiliamali wadogo vitambulisho vya biashara vilivyotolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, fedha hizo ni kutokana na makusanyo ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya Tshs 40,000,000/= na marejesho ya mfuko wa wanawake na vijana kwa amana  ya mikopo na riba 34,900,000/.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji aliwasisitiza fedha hizo zilizotolewa zitafautiliwa hivyo wakazitumie katika matokeo chanya ili kuleta maendeleo ya uchumi kwa  mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Mkurugwnzi huyo  aliwaeleza wanavikundi hao  fedha hizo zinatakiwa zirudi kama zilivyo kwa kuzingatia muda waliokubaliana na kusaini katika  mikataba yao,pia  urudishaji wa fedha hizo unasaidaia kukopesha tena kwa vikundi vingine au kuongezewa kiasi kikubwa cha mkopo.

Aidha alisisitiza zaidi kwa wanufaika hao kuanzisha viwanda vidogo vidogo kwa kusema "sitaona shida kwa vikundi vyenye shughuli za kiviwanda na ambao wanafanya vizuri kuwaongezea kiwango cha mkopo mkubwa"  aidha aliwaeleza kuwa mikopo hiyo haina riba na serikali imepitisha sheria hiyo kuanzia mwaka wa fedha 2018/2019."

Baada ya kukabidhi mikopo hiyo na vitambulisho wanufaika walishukuru serikali kwa kuwainua kiuchumi kwa kuwapa mikopo hiyo maana imesababisha na kina mama kuinuka kiuchumi  na hivyo katika familia nao wamekuwa na mchango mkubwa na kuthaminika zaidi hivyo familia nyingi zimekuwa na amani na furaha,pia waliishukuru serikali kuwaondolea riba katika mikopo hiyo na kuahidi   kuizalisha zaidi na kurejesha kwa wakati mikopo hiyo.

Shughuli ya utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake na vijana ni endelevu kwa kila  robo. Aidha  Robo ya kwanza  Julai-Septemba 2018/2019  jumla ya Tshs 74,500,000/= zilitolewa, ambapo 50,500,000/= zilitolewa kwenye vikundi  7 vya wanawake na Tshs 24,000,000/= zilitolewa kwenye  vikundi 6 vya vijana.

(pichani Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bi.Loema I.Peter akitoa hati kwaajili ya Mikopo kwa Vikundi vya Wanawake,Walemavu na Vijana na kukabidhi vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo.) 





Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa