• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

Imewekwa Tarehe: September 11th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ilipokea Mwenge wa Uhuru tarehe 07/09/2019 na kukabidhi kwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya tarehe 8/09/2019. Mwenge wa Uhuru ulikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe. Miradi hiyo ya kisekta  za  Elimu, Maji, Barabara,Utawala, Afya, Mapambano dhidi ya Ukimwi, Mapambano dhidi ya Rushwa,Kilimo,Viwanda na Uwekezaji, shughuli za  uinuaji kiuchumi kwa Wanawake, Watu wenye Ulemavu na vijana.

Aidha shughuli zilizofanyika ni kukagua vyumba vinne vya madarasa na chumba kimoja cha Ofisi shule yaSekondari Kayuki, Kuzindua  Ofisi ya kata ya Kawetele,Kuweka jiwe la msingi Barabara ya Bomani -Msasani, Uzinduzi wa Ofisi ya Uthibiti Ubora wa Elimu, Kuweka Jiwe la msingi ujenzi wa Kiwanda cha maji, Kukagua Mradi wa maji Lugombo,Kutembelea Kilimo cha kitalu nyumba, Kuzindua Ghala baridi la matunda,Kukagua vikundi vitatu vya wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu vilivyopewa mkopo na Halmashauri 2018, kutoa mikopo kwa vikundi vya Wanawake,vijana na watu wenye ulemavu.

Kiongozi wa Mwenge wa Kitaifa Ndugu Mzee Ali Mkongea alitoa pongezi kwa Halmashauri kwa mapokezi na maandalizi mazuri ya miradi yenye tija kwa jamii na kusisitiza miradi hiyo iliyowekwa mawe ya msingi imalizike na iliyozinduliwa itunzwe vizuri.

Jumla ya miradi 11 iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru  ina thamani ya tsh 7,789,098,138.72.

                                                                 Baadhi ya picha za matukio katika Mbio za Mwenge wa Uhuru 


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa