• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MARALIA SASA BASI

Imewekwa Tarehe: October 31st, 2023

MARALIA SASA BASI


Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mheshimiwa Jaffar Haniu leo tarehe 31.10.2023 amezindua zoezi la ugawaji wa vyandarua bure kwa wanafunzi wa shule za Msingi lengo likiwa ni kutokomeza kabisa ugonjwa wa maralia kwa kuzuia visumbufu( Mbu) na maambukizo kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine


Zoezi hili limezinduliwa katika shule ya msingi Tukuyu na limeratibiwa na Bohari ya Dawa nchini ( MSD).


 Uzinduzi umeenda sambamba na Kauli mbiu " Malaria sasa basi"


Mhe.Haniu ameshukuru kwa jitihada zinazofanywa na serikali kupitia Wizara ya afya kuhakikisha afya za wananchi zinalindwa na hivyo kupanua nguvu kazi ya taifa.


Amesema vyandarua hivi vinatolewa bure kwa wanafunzi hivyo asingependa kuona wazazi wanavitumia kinyume na malengo mahususi ikiwemo kuvulia samaki na wigo wa bustani dhidi ya ndege na wanyama wengine.


Mhe.  Haniu ameonya watu wanaotoa elimu Potofu kuwa vyandarua hivi vina madhara  na kuwa kufanya hivyo kunarudisha nyuma juhudi za serikali kwani vimefanyiwa utafiti na vinafaa kwa matumizi na kinga ya maralia kwa watoto na jamii kwa ujumla.


Aidha amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU pamoja  na  Police  Rungwe  (OCD) kuhakikisha wanakamatwa wote watakaojaribu kutorosha Vyandarua kwenda nchi za jirani.


Mfamasia kutoka MSD Bi. Caroline   Cornelius ametaja kuwa jumla ya  vyandarua 43149 na shule 150 zitanufaika na mpango huu na zoezi linatarajia kuanza mapema kesho



Bi Caroline ameomba  Walimu wakuu, kamati za shule pamoja viongozi wa vijiji, kutoa ushirikiano wa kutosha ili zoezi hili likamilike kwa wakati na ufanisi mzuri.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa