• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MAPATO YA NDANI

Imewekwa Tarehe: February 6th, 2024

MAPATO YA NDANI YALETA "RAHA" KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

Zaidi ya Shilingi million 62 zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya  Msingi Umoja yenye  Mchepuo wa Kingereza iliyopo Ilenge kata ya Kyimo.


Shule hii inatarajia kuanza kutoa huduma ya elimu kuanzia kesho tarehe 5.2.2024 ambapo Fomu za namna ya kujiunga pia zitatolewa


Ujenzi umejumuisha vyumba vya madarasa, ofisi pamoja na vyoo vya walimu na wanafunzi.


Shule hii imeondoa changamoto ya umbali wa kufuata huduma ya elimu katika shule ya Nuru ambayo pia humilikiwa na Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.


Shule nyingine inayotarajiwa kufunguliwa kesho ni pamoja na Ushirika iliyopo kata ya Mpuguso.


Shule Mpya  ya mchepuo wa kiswahili inayotarajiwa kuanza kutoa huduma ya elimu kesho ni  Chief Mwanjali iliyopo kata ya Ikuti mita chache kutoka katika Gulio la Ikuti.


Wazazi mnahamasishwa kuwaandikisha watoto katika shule hizi kwa maendeleo endelevu ya taifa letu.


----Endelea kulipa mapato ya serikali kwa ufanisi na maendeleo katika sekta Mbalimbali----


Ofisi ya Rais - Tamisemi

Renatus Mchau

Msemaji Mkuu wa Serikali

CCM MKOA WA MBEYA

MBEYA YETU (GROUP LA MKOA WA MBEYA)

Atubonekisye Mshani

Ikulu Mawasiliano

MBEYA YETU WOTE

Mbeya Press Club

RUNGWE YETU" Mbeya".

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa