• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MAFUNZO YA TASAF AWAMU YA TATU YAZINDULIWA

Imewekwa Tarehe: August 10th, 2021

Mafunzo ya kujengeana uelewa kwa wadau mbalimbali juu ya utekelezaji wa kipindi cha pili cha- TASAF- awamu ya tatu yamezinduliwa leo tarehe 10.8.2021 na Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dk. Vicent Anney yakilenga kubaini na uandikishaji wa  kaya masikini.

Aidha Dk. Anney ameongeza kuwa lemgo la TASAF ni pamoja na Kuwaongezea uwezo wananchi uwezo wa kujiajiri, kuongeza mapato ya kaya na familia kwa ujumla, Kuongeza maarifa na ujuzi ina kuongeza fursa ya jamii katika ujasiriamali.

Hata hivyo ameonya wadau kutoonesha upendeleo wa aina yeyote wakati wa kuzibaini na kuzisajiri kaya masikini.

Jumla ya shilingi tirion 2.03 zinatarajia kuzinufaisha kaya masikini Tanzania bara na Visiwani huku zikiwa na sifa zifuatazo:

1.Kaya zenye uwezo wa kufanya kazi na zenye watoto

2. Kaya zenye uwezo wa kufanya kazi na zisizo na familia.

3. Kaya zenye watu  wenye ulemavu

4. Kaya zenye watoto wanaolea/ongoza  familia

Wakati huohuo Dk Anney ameagiza miradi yote inayotekelezwa vijijini kutumia kaya masikini kama nguvu kazi ili kuzijengea uwezo kiuchumi na hivyo kuvunja ukuta wa umasikini unaozikabili kwa muda mrefu.

Katika  awamu hii  imearifiwa kuwa fedha zote zitaingizwa kwenye akaunti za wanufaika kupitia akaunti za benki, simu za mkononi au mawakala maalumu badala ya kupewa mkononi lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kuwafikia walengwa kwa wakati.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa