• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MAELEKEZO YA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA JUNE MOSI 2020

Imewekwa Tarehe: May 29th, 2020

Shule za sekondari kwa kidato cha sita nchini zinafunguliwa kuanzia tarehe 1 june,2020.

Mwalimu Abel Ntupwa ni afisa elimu Sekondari  halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya   na ametoa maelekezo yafuatayo.

1. Wanafunzi watatakiwa kuripoti shuleni kuanzia tarehe 30 mwezi mei bila masharti yeyote.

2.Wanafunzi watatakiwa kuepuka misongamano ikiwa ni pamoja na kutoshirikiana vyombo vya chakula, nguo nakadharika.

3. Wanafunzi watatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara angalau  dakika 30 kila siku.

4.kila Shule iandae maeneo ya kunawa hasa madarasani, bwaloni, maabara na bwenini kwa kuweka vitakasa mikono na maji tiririka.

5. Wazazi wasipange ratiba ya kwenda kuwaona wanafunzi shuleni.

6.Endapo mgonjwa atagundulika uongozi wa shule uwasiliane na kituo cha afya kilicho jirani au ofisi ya Mkurugenzi wilaya.

7. Masaa mawili yameongezwa kutoka muda uliozoeleka wa kufundisha wanafunzi darasani ili kufidia muda uliopotea hapo awali.

8. Walimu na Wanafunzi waepuke kuzurura kwani kufanya hivyo wanaweza kuletea maambukizi shuleni.

9 Kila shule iondoe hofu kwa wanafunzi kwa kuwapa ushauri nasihi kila mara inapowezekana.Halmashauri ya wilaya ya Rungwe ina shule zenye watahiniwa wa kidato cha sita ikiwemo shule ya sekondari Kayuki, Rungwe, Tukuyu, Isongole, God's Bridge, Lubala pamoja na Lutengano.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa