• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MADIWANI WAGONGA HODI KAHAMA

Imewekwa Tarehe: September 19th, 2022

Waheshimiwa Madiwani  kutoka kata zote 29 pamoja na viti maalumu na baadhi ya Watalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe wamefika salama katika Manispaa ya Kahama  mkoani Shinyanga Leo tarehe 19.9.2022 ikiwa ni sehemu ya Mwaliko kutoka Baraza la Madiwani na Menejimenti ya Manispaa ya Kahama.


Katika ziara hii fupi Madiwani wanatarajia kujifunza

1. Utaratibu bora wa Matumizi ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji


2. Namna ya kusimamia shughuli za uwekezaji ili kuongeza kipato kwa wananchi na Kodi kwa Halmashauri.


3.Kutumia vikundi vya  Halmashauri katika kutekeleza miradi ya  Maendeleo ndani ya Halmashauri.


4..Namna jamii inavyonufaika na faida inayotolewa na makampuni baada ya kupata tija katika shughuli zao (Corporate  social Responsibility).


5. Ukusanyaji wa ushuru wa huduma kutoka kwa WAFANYABIASHARA.


Ndani ya ukumbi wa

Manispaa ya Kahama Mchumi wa Manispaa ameeleza kuwa jumla ya maeneo sita yametengwa kwa ajili ya shughuli za kiuchumi.


Katika eneo la Viwanda la Ummy Mwalimu lililopo takribani Km 3.4 kutoka Mjini Kahama  Barabara ya Tinde- Isaka- Burundi  lenye ukubwa wa ekari 500 ndilo eneo pekee lililokusanya wajasriamali kutoka Mjini kama karakana za kuchomelea, Viwanda vidogovidogo vya kuchakata bidhaa za kilimo na mifugo,  Mafundi seremala na mpaka Sasa eneo hili limechangia asilimia 10% ya mapato ya ndani.


Mpaka Sasa wajasriamali wote wameondolewa mjini na wamepelekwa katika eneo hili na tija kubwa imeanza kuonekana.


Moja ya tija  ni urasimishaji wa shughuli za kiuchumi zinazopatikana katika eneo hili, na utoaji wa leseni za biashara imekuwa rahisi ambapo imesaidia upatikanaji wa Mikopo kwa urahisi kupitia asilimia 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri na mikopo mingine kutoka taasisi za kifedha.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa