• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MADIWANI MANISPAA YA IRINGA ZIARANI RUNGWE DC

Imewekwa Tarehe: May 20th, 2023

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani kutoka Manispaa ya Iringa katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imehitimishwa leo tarehe 20.5.2023 kwa kutembelea Shamba la Mfano la Migomba lililopo katika kijiji cha Kalalo kata ya Lufingo, Kiwanda cha Gesi (TOL GAS) na Shule ya Wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu Katumba.


Katika shamba la Mkulima katika kijiji cha Kalalo Madiwani wamejifunza kilimo cha tija ambapo Mkulima hujishughulisha pia na Ufugaji.


Bwana Juma Mwakifulefule ndiye aliyetembelewa ambapo ameeleza kuwa katika shamba lake la ekari saba kila mwezi huvuna mikungu 100 na kujipatia kiasi cha Shilingi

Million 2 na kila miungu huuzwa kwa wastani wa shilingi 20,000/=


Aidha Samadi ya Ng'ombe hutumika kurutubisha shamba la Migomba na kwa idadi ya mifugo yake huzalisha lita 200 kwa siku sawa na wastani wa pato la shilingi 140,000/ = kwa siku.


Katika kiwanda cha gesi wamejifunza  namna gesi inavyozalishwa na kuuzwa katika viwanda vya kusindika vinywaji ndani na nje ya nchi.


Gesi hii husambazwa katika viwanda vyote vya Pombe na soda katika mikoa ya Shinyanga,  Mwanza, Mbeya, Dar, Kilimanjaro Morogoro na nchi za Zambia, Kenya na Zimbabwe.


Wakiwa katika shule ya Msingi Katumba II wamefarijika na huduma ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu huku kiwanda cha ASAS kikitoa kiasi cha lita 50 za maziwa bure kwa siku kwa ajili ya kuboresha lishe ya Wanafunzi.


Madiwani wamekabidhi zawadi kadhaa ikiwemo mifuko ya sukari, Mchele, Vinywaji,  na  mafuta ya kupikia.


Aidha wamekabidhi zaidi ya shilingi laki 2 kama motisha kwa wanafunzi na walimu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa