• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Maandalizi ya bajeti ya 2020/2021

Imewekwa Tarehe: January 3rd, 2020

Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imeanza maandalizi ya kwa kupitia na kujadili rasimu ya mpango na bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

Aidha katika kikao hicho cha kujadili rasimu hiyo pia ilijadiliwa mafanikio na changamoto katika utekelezaji wa bajeti ya Halmashauri Mwaka wa fedha 2018/2019. Katika mafanikio ya utekelezaji wa bajeti hiyo Halmashauri ilipata mafanikio ya kitaaluma kwa kuongezeka kwa ufaulu kwa matokeo ya mitihani ya darasa la saba kutoka  68.7% mwaka 2017 hadi  kufikia 87.4% mwaka 2019, kuwezesha wanafunzi 5,408 waliofaulu darasa la  saba  2018 kuingia kidato cha kwanza 2019.

Katika matokeo ya mitihani ya kumaliza kidato cha Nne mwaka 2017,Halmashauri ilishika nafasi ya tatu kimkoa kwa kufaulisha kwa80% na katika matokeo ya kidato cha sita Halmashauri ilifaulisha kwa 99.3%.

Halmashauri ilifanikiwa kuongeza kiwango cha utoaji mikopo kwa vikundi  vikundi vya Wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kutoka tsh 156,070,000.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 hadi kufikia tsh 349,900,000.00 kwa mwaka wa fedha 2018/2019. Aidha Halmashauri kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo imefanikiwa kuongeza viwanda ambavyo vimesaidia jamii kupata ajira ,viwanda vilivyo ongezeka ni kiwanda cha maji ya kunywa "Tukuyu Springs Water" kiwanda cha maziwa ASA na kiwanda cha  parachichi Rungwe Avocardo co.

Halmashauri imefanikiwa katika kupunguza kwa maambukizi ya VVU/UKIMWI toka 9.2% 2017/2018 hadi kufikia 9% 2018/2019.

Kwa upande wa mifugo koosafu za ng'ombe wa maziwa zimeboreshwa kwa 82% .

Kwa kuboresha huduma za afya Halmashauri imekamilisha ujenzi wa vituo vya afya 3 vya Ikuti,Isongole na Masukulu vimekamilika na kuanza kutoka huduma.



Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa