• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MAADHIMISHO YA WIKI YA LISHE RUNGWE

Imewekwa Tarehe: October 24th, 2024

MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 24 hadi 30 Oktoba 2024.

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imeanza maadhimisho ya wiki ya Lishe Duniani katika kata zote 29.

Kauli mbiu Mwaka huu ni "*Mchongo ni Afya yako, Zingatia unachokula"*

Kauli mbiu inahimiza jamii kuchukua hatua makusudi ya kuwa makini na kufanya maamuzi sahihi kuhusu aina na ubora wa vyakula wanavyokula au kuwalisha watoto, ili kulinda afya zao kwa ustawi kamili kijamii na kiuchumi.

 Lengo la Maadhimisho haya Ni kutoa elimu ya Lishe kwa jamii kwa kuzingatia mapendekezo ya mwongozo wa kitaifa wa chakula na ulaji

MALENGO  MENGINE MAHUSUSI
-Kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya vyakula vilivyoongezwa virutubishi
-kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuzingatia kanuni za ulaji unaofaa"*kula mlo kamili"* ili kukidhi mahitaji yote ya kilishe ya mwili na kuwa na afya bora.

-Kupambana dhidi ya uelewa duni, dhana potofu na mitazamo hasi iliyopo katika jamii husika kuhusu masuala ya Lishe kwa kutoa taarifa sahihi na za kitaalam

-Kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kufanya mazoezi na kushughulisha mwili ili kupambana dhidi ya utapiamlo wa Lishe ya kuzidi hivyo kuepuka magonjwa yasiyoambukiza yenye uhusiano wa Lishe kama vile kisukari, saratani, magonjwa ya moyo

-Kuunganisha jamii na wadau mbalimbali katika kuendeleza juhudi mbalimbali zinazolenga kuimarusha  afya ya jamii.

Maadhimisho ya Siku ya Lishe kwa mwaka 2024 yatafanyika katika mikoa na Halmashauri zote Tanzania bara kama ambavyo imekuwa ikifanyika kila mwaka. Mkoa wa Dodoma umeteuliwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho haya Kitaifa.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa