• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Kikao cha Wakuu wa Shule za Sekondari Wilaya ya Rungwe

Imewekwa Tarehe: January 24th, 2019

Wakuu wa shule za sekondari wafanya kikao kazi cha kwanza kwa mwaka 2019, ni ada kwa Idara ya elimu sekondari kufanya vikao na wakuu wa shule ili kuwa kumbusha wajibu wao katika utendaji wa kazi na kuweka mipango mikakati kwaajili ya ufaulu 

Wakuu wa shule za sekondari wafanya kikao kazi cha kwanza kwa mwaka 2019, ni  ada kwa Idara ya elimu sekondari kufanya vikao na wakuu wa shule ili kuwa kumbusha wajibu wao katika utendaji wa kazi na kuweka mipango mikakati kwa ajili ya ufaulu mzuri katika shule zote. Kikao hicho kimefanyika tarehe 10/01/2019 katika ukumbi wa kituo cha walimu kilichopo Tukuyu mjini na kuhudhuriwa na Wakuu wa shule 38.

Aidha katika kikao hicho walijadili sheria mbalimbali za utumishi wa umma ambazo ni muongozo katika majukumu yao, sheria na nidhamu kwa walimu na haki za kiutumishi, taratibu za kufuata/miongozo ya matumizi ya fedha za umma, maelekezo ya shughuli za taaluma, na tathmini ya matokeo ya kidato cha Pili 2018. Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na viongozi kutoka katika Idara ya elimu sekondari ambao walitoa mada mbalimbali katika kiako hicho na kujadiliwa kwa pamoja viongozi hao na Wakuu wa shule. Bi Mary Stelli Mwinuka ambaye ni Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa walimu katika Halmashauri ya Wilaya Rungwe aliwasisitiza wakuu wa shule kusimamia walimu katika shule zao kuhakikisha wanafanya kazi kwa weredi na kupata ufaulu mzuri ikiwa pamoja na  kufuatilia kwa ukaribu  masuala ya nidhamu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa