• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAMATI ZA SHULE ZAJENGEWA UWEZO

Imewekwa Tarehe: September 3rd, 2020

Mafunzo kwa kamati za shule za msingi halmashauri ya wilaya ya Rungwe yamezikutanisha kata saba huku yakilenga kuzijengea uwezo kamati hizo namna bora ya Kusimamia vema rasriamali zao, nyaraka za shule, kupanga mipango endelevu ya shule, kusimamia nidhamu ya walimu na wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuzuia mimba shuleni, utoro na chakula mashuleni.


Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Rungwe bibi Loema Peter amesema kuwa ufaulu bora wa wanafunzi unatokana na ushirikiano thabiti kati ya kamati ya shule, walimu, wazazi pamoja na wazazi.


Aidha Bi. Loema amesema kuwa ushirikiano huo ndio utakaoleta mshikamano na kusaidia, ukamilishaji wa miradi ya shule kwa wakati, ikiwa ni pamoja na uwazi wa mapato na matumizi wa fedha  za umma.Hata hivyo Bi. Loema amewaomba walimu waliohudhuria mafunzo hayo kutojihusisha na  harakati za kisiasa badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii huku wakisubiri siku ya uchaguzi oktoba kwani serikali yao bado inaendelea kuwahudumia wananchi wote akigusia suala la elimu bure jinsi lilivyo kuza ufaulu nchini pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa katika karibu kata zote.


Pamoja na hayo afisa elimu Msingi bwana Gerald Kifyasi amewaomba wanufaika wa mafunzo hayo kwenda kuyatumia ipasavyo kwani wananchi wana imani nao hivyo ni jukumu lao kwenda kufuta ujinga kwa watoto,  kuongeza ufaulu, uwazi pamoja na kulinda rasiriamali za shule.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa