Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Rungwe imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kata mbalimbali ambapo kamati ikiwa katika kituo cha afya kiwira imepongeza hatua ya ujenzi iliyofikiwa na kuwa mradi huu utasaidia kusogeza huduma ya matibabu karibu na wananchi hasa Mama na Mtoto ambao hufuata huduma ya matibabu katika Hospitali ya Tukuyu umbali wa zaidi ya km 20.
Ujenzi wa Kituo hiki umegharimu zaidi ya shilingi million 500 na upo katika hatua ya ukamilishaji.
Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB
Sanduku la Posta: Box 148
Simu: 025 255 2586
Simu ya Kiganjani:
Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz
Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa