• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA WA MBEYA YAPONGEZA UJENZI WA KITUO CHA AFYA

Imewekwa Tarehe: January 13th, 2022

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya  imefanya ziara na Kukagua ujenzi wa Kituo kipya cha afya kilichopo katika kata ya Kinyala kinachotarajia kugharimu zaidi ya shilingi Million 201 ikiwa ni sehemu ya mapato ya ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.

Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ameishukuru Halmshauri kwa kusogeza huduma ya afya karibu kwa wananchi huku akieleza kuwa kituo hicho kitaondoa changamoto ya kufuata huduma ya matibabu umbali mrefu kwa wakazi wa kata hiyo na wilaya ya Mbeya vijijini.

Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa wilaya ya Rungwe  Mhe.Dk. Vicent Anney ametaja fedha zilizotolewa na serikali ya awamu ya sita kwa hivi karibuni ni kuwa ni pamoja na:

1. Ujenzi wa kituo kipya cha afya kata ya Iponjola -milllion 500

2 Ukamilishaji Zahanati ya Isyonje -million 50. 

3.Ukamilishaji Zahanati ya Ilenge -Million 50

4.  Upanuzi Kituo cha afya Mpuguso (Ushirika)- Million 50

5. Ukarabati na Ujenzi Hospitali ya wilaya Tukuyu (Makandana) -Billion 1

VItuo vingine vinavyoendelea na ujenzi kwa hatua nzuri ni pamoja na kituo cha afya kata ya Kyimo (Milion 500), Kituo cha Afya Kata ya Ndanto- Tozo ya miamala ya simu ( Million 250)

Hatua hii ya Serikali inatarajia kuondoa na kutokomeza changamoto ya upatikanaji wa huduma ya afya kwa wakazi wa wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa