• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

Imewekwa Tarehe: April 15th, 2025

Leo tarehe 14.4.2025 Kamati ya Siasa Wilaya ya Rungwe ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rungwe Bwana Mekson Mwakipunga imefanya ziara na kukagua miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa katika robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2024/25.


 Pamoja na Wajumbe wengine Ziara hii imehudhuriwa  pia na Kamisaa  wa Chama ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe Jaffar Haniu.


Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na ujenzi wa Mabweni Mawili katika shule ya sekondari Wasichana Kayuki, Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa kutumia mapato ya ndani katika shule ya msingi Masebe, Ujenzi wa shule Mpya ya amali katika kata ya kisondela pamoja na Shule mpya ya sekondari kata ya Kawetere.


Miradi yote imegharimu zaidi ya shilingi Billion 1.5


Kamati imeridhishwa na kiwango cha ujenzi kilichofikiwa huku ikimpongeza Rais Mhe.  Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuimulika Wilaya ya Rungwe na kuilpatia miradi mkakati itakayosaidia kutatua changamoto za wakazi wa wilaya ya Rungwe.


Pamoja na miradi hii, Pia Rais ameidhisha fedha na kuipatia Wilaya ya Rungwe kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la ghorofa mbili Hospitali ya wilaya Tukuyu (Billion 2) Kituo cha afya Masoko na Kiwira (Billion 1), Upanuzi wa shule ya sekondari Rungwe na Lupepo,  Barabara ya Ndulilo -Itete na Katumba- Lupaso kwa kiwango cha Lami pamoja na miradi ya maji na umeme.


Huu utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa wakazi wa wilaya ya Rungwe.

Renatus Mchau

Ofisi ya Rais - Tamisemi

Atubonekisye Mshani

Ikulu Mawasiliano

Bunge la Tanzania

CCM Tanzania

CCM MKOA WA MBEYA

Kenny Lawrence

JamiiForums

Tanzania Investment Centre

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa