• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Kamati ya Siasa Wilaya ya Rungwe yatoa pongezi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.

Imewekwa Tarehe: December 18th, 2018

Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Rungwe Mh.Sam Mwakapala alipokuwa akitoa  neno la ukaribisho katika kikao cha Chama cha Mapinduzi  kilichofanyika mjini Tukuyu katika ukumbi wa Landmark Hotel tarehe 18/12/2018. Mwenyekiti  alitoa pongezi kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo yenye tija katika Halmashauri, usimamizi huo mzuri na ushirikiano mzuri uliopo kati ya Halmashauri na Chama cha Mapinduzi. Alisema kamati ya Siasa ilipokuwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi waliyoifanya tarehe 15/12/2018 na 16/12/2018.

Pia Mwenyekiti huyo alisisitiza wataalamu wa Halmashauri kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kusimamia vizuri  miradi hiyo.  Aidha katika   Kikao hicho alishauri viwango vya mikopo kwa wanawake, vijana na walemavu viongezwe ili waweze kufanya shughuli kubwa zaidi kwa kiasi hicho. Kikao hicho kilikuwa ni  kupokea taarifa ya utekelezaji wa  Ilani ya Uchaguzi ya 2015, taarifa hiyo ilitolewa na Mkuu Wa Wilaya ya Rungwe Mh.Julius Challya. 

Katika kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dk.Tulia Akson Mwansansu, Wabunge wa majimbo yote ya Wilaya ya Rungwe wajumbe wa kamati za Chama cha Mapinduzi toka katika Kata mbalimbali.Katika kikao hicho pia wakuu wa Idara za Halmashauri za Wilaya za  Rungwe na Busokelo ,menejawa TRA (W), Wakuu wa Vyuo vya Ualimu Vilivyopo Wilaya ya Rungwe,Meneja wa TANESCO, Meneja wa TARURA (W)Kamati ya Ulinzi na Usalama (W).

(Pichani ni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rungwe waliovaa Sare za Chama na Wakuu wa Idara za Halmashauri za Wilaya Rungwe na Busokelo)picha na Suzan Mhoja


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa