• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAMATI YA LISHE WILAYA YATOA PONGEZI KWA MAAFISA UGANI DHIDI YA SUMU KUVU

Imewekwa Tarehe: March 9th, 2022

Kamati ya Lishe Wilaya ya Rungwe imepongeza maafisa Ugani katika kata zote 29 kwa kuendelea kutoa elimu juu ya kilimo bora cha mahindi lishe na maharage lishe sambamba na na namna bora ya mbinu bora ya uvunaji na uhifadhi ili kuzuia sumu kuvu ambayo ni hatari kwa afya ya mlaji.Wilaya ya Rungwe ipo katika msimu mkubwa wa uvunaji wa mahindi huku mvua ikiendelea kunyesha ambapo kushindwa kutunza vizuri mahindi hayo kunapelekea kuoza na hivyo kuwa katika mazingira ya kupata sumu kuvu.

Kwa Mujibu wa shirika  la Research to nourish Afrika linataja kuwa Sumu kuvu ni sumu zitolewazo na aina ya ukungu kuvu (fangasi) unaoota kwenye mbegu za nafaka na jamii ya kunde, mazao ya mizizi, karanga, vyakula na malisho ya wanyama vikiwa shambani au kwenye ghala. Ingawa aina nyingi za kuvu zinaweza kuota na kukua katika vyakula hivi, ni wachache tu amabao hutoa sumu kuvu. Endapo vayakula anavyokula binadamu au mnyama vina sumu kuvu nyingi afya zao hudhurika kwa kiwango cha juu. Sumu kuvu haionekani kwa macho, haina harufu, haina kionjo, wala rangi, lakini kuvu anayetoa sumu hizo anaweza kuwa na rangi ya kijani, chungwa, kijivu au njano chafu na anaweza kutoa harufu ya uvundo. Karibia asilimia 25 ya vyakula ulimwenguni vina maambukizi ya sumu kuvu na watu bilioni 2.5 wako katika hatari ya kudhurika.

HATARI ZITOKANAZO NA SUMU KUVU

tafiti wa shirika la IITA unataja kuwa: Kama chakula au kinywaji chenye sumu kuvu kitatumiwa na binadamu au mnyama ataugua kwa kutegemea na kiasi cha sumu kuvu kilichomo. Vyakula ambavyo vinaweza kuambukizwa sumu kuvu ni kama vile mahindi na unga wake, karanga na mazao yanayotokana na karanga, muhogo, nyama, mayai na maziwa (vitokanavyo na mnyama au ndege aliyeambukizwa pamoja na mazao yao) na vyakula vya mifugo (vyenye mbegu zilizoambukizwa au nyasi au vyaluka vya mifugo vya kutengenezwa). Saratani, hasa ya ini, kushusha kinga ya mwili, kudumaa hasa kwa watoto, sumu kwenye figo na vifo kwa binadamu na wanyama ikiwa viwango vya sumu kuvu ni vikubwa. Baadhi ya sumu kuvu hutoka kwa mama kwenda kwa mtoto akiwa bado tumboni. Kutokana na madhara ya afya yanayosababishwa na sumu kuvu kwa binadamu na wanyama sumu kuvu haziruhusiwi kuwepo katika mazao yaliyokusudiwa kwa biashara na kama zikigunduliwa katika mazao ya kilimo hayatauzika na badala yake yatateketezwa. Kwa kiwango kikubwa sumu kuvu huathiri biashara, faida na afya za wazalishaji.

NJIA ZA KUZUIA SUMU KUVU-

-Lima aina za mazao zenye ukinzani dhidi ya kuvu wanaotoa sumu kuvu (kama aina hizo zinapatikana)Vuna mazao yakiwa yamekauka vizuri kama inavyoshauriwa na bwana/bibi shamba na epuka kutia majeraha kwenye mazao yako

- Usianike mazao yako kwenye udongo mtupu. Anika sehemu iliyoinuka kama meza na utumie turubai au aina nyingine ya kifaa cha kuanikiaWakati na baada ya kuvuna tupa mbegu au mazao yaliyoozaHifadhi mazao mahali pakavu na pasipo na joto.

- Hakikisha mazao yaliyohifadhiwa hayalowiGhala liruhusu mzunguko wa hewa,


 -zuia wadudu waharibifu na kuvu kwa kunyunyiza madawa yaliyokubalika na kushauriwaTumia madawa yanayodhibiti na kuondoa sumu kuvu wakati wa usindikaji wa vyakula vya binadamu na vile vya wanyama

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa