• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAKAO KATIKA KIJIJI CHA LUBANDA, DC AHAMASISHA UUNDAJI WA VIKUNDI

Imewekwa Tarehe: June 24th, 2022

Wakazi wa kijiji cha Lubanda kata ya Ilima wameazia kupanda miche isiyopungua 50 ya zao la kakao  kwa kila kaya ikiwa ni sehemu ya kuongeza kipato sambamba na kuondokana na umasikini.

Mbele ya Mkuu wa wilaya ya Rungwe, Mwenyekiti wa kijiji hicho bwana Wema Mwakibibi ametaja kuwa tayari kila zoezi hilo limenza kutekelezwa kwa miaka miwili iliyopita ha hivi karibuni wataanza kunufaika huku maaafisa ugani wakiendelea kuwapa ushauri wa kitaalamu kwa ukaribu zaidi.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt Vicent Anney ameagiza wakazi wa kata hiyo kuanza kuunda vikundi vya uchakataji na usindikaji wa zao hilo ikiwa ni hatua ya kuliongezea thamani na kupanua wigo wa biashara ya kakao nchini.Katika nchi ya Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika Wilaya ya Rungwe, Kyela na Busokelo.

Wakati huo huo Dkt Anney amewakumbusha wakazi wote wa wilaya ya Rungwe kuendelea kijiandaa na zoezi la Sensa ya watu na makazi linalotarajia kutekelezwa agosti 23 mwaka huu na kuipa serikali nafasi ya kupanga mipango endelevu ya maendeleo  kwa watu wake.

Aidha amekemea vitendo vya mauaji vinavyozidi kushamiri katika maeneo mbalimbali ambayo vinazidi kuuondoa hali ya utulivu katika wilaya hii huku akitaja chanzo kikubwa kuwa ni migogoro ya ardhi.


FUNGUA KIUNGANISHI HIKI KWA HABARI ZAIDI

https://rungwedc.go.tz/.../kakao-ilivyobadilisha-sura-ya...

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE August 09, 2022
  • FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZILIZOPOKELEWA KWA KIPINDI CHA MWEZI MARCH HADI JUNE, 2022 July 04, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI May 25, 2022
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BADO SIKU 06 ZOEZI SENSA YA WATU NA MAKAZI

    August 16, 2022
  • ASANTE MAMA KWA KUTEKELEZA AHADI YAKO KWA WAKATI

    August 15, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE ILIVYOPAA KATIKA TATHIMINI KITAIFA

    August 13, 2022
  • MHE.RAIS AFANYA ZIARA WILAYANI RUNGWE

    August 07, 2022
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa