• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

JENGO LA MAMA NA MTOTO MAKANDANA LAWEKEWA JIWE LA MSINGI

Imewekwa Tarehe: September 1st, 2021

Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt Vicent Anney amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa katika hospitali ya wilaya Tukuyu (Makandana) huku akiweka jiwe la msingi katika jengo la mama na Mtoto lililopo katika hospitali hiyo.



Jengo hilo lililogharimu kiasi cha shilingi million 481 lina jumla ya vyumba 42 vya kutolea huduma na tayari jengo hili limeanza kufanya kazi.



Aidha Mhe Anney amearifu kuwa serikali inaendelea kuboresha huduma za afya katika maeneo mbalimbali ambapo katika hatua hii hosipitali inatarajia kupokea kiasi cha shilingi Billion Moja ikilenga kuboresha majengo na miundo mbinu mingine.



"Ndugu zangu kabla ya jengo hili jipya kujengwa akina mama walikuwa wanalala chini lakini baada ya Serikali kutoa kiasi kikubwa cha pesa sasa mama zetu wanalala mahali salama mpaka vitanda vinabaki. Hii ni kazi kubwa iliyofanywa na serikali ya Mama yetu Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na utekelezaji mkubwa wa ilani ya Chama cha Mapinduzi". Amewakumbusha watanzania.



Pamoja na hayo ameeleza kuwa serikali inaendelea kupeleka madawa pamoja na vifaa tiba katika hospitali hiyo sambamba na vituo vya kutolea huduma ya afya vijijini ili kuwajengea afya stahiki wananchi na hivyo kushiriki katika shughuli za maendelea ipasavyo.



Katika hatua nyingine wananchi wameagizwa kujiunga na bima ya afya iliyoboreshwa (ICHF) ili kupata fursa ya matibabu katika maeneo mbalimbali nchini kwa gharama nafuu.












































Get More Messages for Rungwe District Council

You can add a Messenger button to your post to get more messages for Rungwe District Council.











0

People Reached







17

Engagements






Boost Post














17 Shares










Like







Comment







Share









0 Comments










Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa