• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

ILANI YATEKELEZWA KWA VITENDO

Imewekwa Tarehe: July 19th, 2022

Serikali ya awamu ya sita imetoa jumla ya shilingi Million 60 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa pamoja na samani zake kwa shule ya msingi Ipyana iliyopo kijiji cha Simike kata ya Lufingo.

Huu ni utekekezaji mkubwa wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ikiwa ni dira thabiti ya maendeleo nchini.Vyumba kama hivyo vinajengwa  pia katika shule ya msingi jumuishi ya Katumba II ambapo ujenzi upo katika hatua ya upauaji.

Aidha serikali imetoa jumla ya shilingi million 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari Msasani katika kitongoji cha Bulongwe barabara ya Tukuyu- Lufumbi Masoko ambapo kukamilika kwake kutagharimu kiasi cha shilingi million 600. 

Ujenzi wake umefikia asilimia 80%.Aidha shule ya sekondari Suma imepokea zaidi ya shilingi million 90 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la utawala na vyumba vya madarasa. Ujenzi upo hatua ya upauaji.

Ikumbukwe kuwa kupitia mpango wa COVID 19  mwishoni mwa mwaka uliopita (2021) Serikali ilitoa jumla ya shilingi Billion 1.1 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 55 vya madarasa katika shule za sekondari hali iliyoondoa msongamano madarasa katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.

Ilani imeendelea kutekelezwa katika sekta mbalimbali ikiwemo afya, maji, barabara, umeme, kilimo, ufugaji, utalii na stahiki kwa watumishi wa umma.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa