• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

HOSTEL YA NKUNGA YAUNGUA WADAU WATOA MISAADA

Imewekwa Tarehe: January 26th, 2021

Baada ya  hostel ya shule ya sekondari Nkunga kuungua Kwa moto mapema Jana alfajiri ( January , 27) wadau mbalimbali wamejitokeza kuchangia ujenzi wa hostel mpya inayotarajia kugharimu kiasi cha shilingi million 113 na kulaza wanafunzi wapatao 80.


Akikabidhi misaada hiyo Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mheshimiwa Julius Chalya amearifu kuwa kiwanda cha maji Tukuyu kimetoa jumla ya mifuko ya saruji 250 huku kampuni ya majani ya chai MeTL ikitoa mifuko 100 ya saruji.


Aidha ofisi ya Mbunge jimbo la Rungwe imetoa msaada wa fedha taslimu kiasi cha shilingi million 2 huku umoja wa wakuu wa shule ukitoa ahadi ya kununua magodoro yote yatakayotumiwa na wahanga hao. Pamoja na hayo idara ya elimu sekondari itanunua madaftari yatakayotumika kujifunzia darasani.


Akitoa salamu za pole Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe  Mheshimiwa Mpokigwa Mwankuga amesema kuwa hostel hiyo itarajiwa kukamilika ndani ya miezi mitatu huku akiomba wadau mbalimbali kuendelea kuchangia misaada mbalimbali na kuonya watendaji kutothubutu kutumia misaada hiyo vibaya ikiwa ni pamoja na kulipana posho.


Pamoja na hayo Mkurugenzi MTENDAJI halmashauri ya wilaya ya Rungwe Bi. Loema peter ameomba wakazi wa kata ya Nkunga kuanza kuchimba msingi wa jengo hilo pamoja na kukusanya mchanga ili ukamilishaji wa jengo hilo ufanyike mapema na kuwapa fursa wanafunzi hao kupata malazi salama.


Hostel hiyo iliyokuwa inakaliwa na wanafunzi wa kike tu, na Kwa sasa wamerudishwa nyumbani mpaka siku ya jumatatu ijayo  februari mosi. Wakirejea watatumia sehemu ya madarasa kwa ajili ya malazi huku wakisubiri ujenzi wa hostel  mpya.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa