• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

HLAMASHAURI YAVUKA MALENGO ROBO YA TATU

Imewekwa Tarehe: April 29th, 2022

Barazani leo tarehe 29.04.2022 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga ametaja kuwa katika kipindi cha robo ya tatu mwaka 2021/2022 January, February, na March mwaka huu, Halmashauri imekusanya jumla ya Tsh. 1,375,385,534.36 sawa na asilimia 104% ya Makisio ya Shilingi 1,326,564,689.00 kwa kipindi hicho cha miezi mitatu.

Aidha ameeleza kuwa kuanzia mwezi Julai 2021 Mpaka Machi 2022 Halmashauri imekusanya jumla ya shilingi 4,061,614,477.40 sawa na asilimia 77% ya makisio ya mwaka ya Shilingi 5,306,258,756.00

Mapato  hayo yametokana na vyanzo kama ushuru wa mazao, ada ya ushuru, ada ya leseni, Mpato kutokana na mali za Halmashauri, Ushuru wa mali asili, Mapato ya hisa na ada za shule na ICHF.

Mapato hayo yamesesaidia katika ujenzi wa miradi ya kutolea huduma za afya (Kituo cha afya Kinyala), elimu na matumizi mengine ya Serikali.Katika mapato hayo ada za shule zimekusanywa kwa asilimia 91%, Mali asili 86% na Mazao 80% Mapato mengineyo 159%

Mafanikio katika makusanyo hayo yametokana na usimamizi mzuri sambamba na ushirikiano mzuri kutoka kwa wananchi.

Mhe. Mwankuga ameeleza kuwa katika kipindi cha mwaka 2021/22 Halmashauri imepata HATI SAFI ya ukaguzi wa mahesabu na hali iliyotokana na ushirikiano mzuri kati ya Madiwani, Chama na Serikali, pamoja na watalamu.

Pamoja na hayo Mwankuga amebainisha kuwa katika kipindi cha miezi mitatu Halmashauri imepokea shilingi Million 290 kutoka serikali Kuu,  fedha zilizotumika kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Ipyana, Katumba, Shule ya sekondari Suma na ukarabati jengo la Mamlaka ya mji mdogo Tukuyu.

Miradi mingine ni ujenzi wa Kituo cha afya Iponjola (Million 500), Ujenzi wa jengo la  wagonjwa wa  dharula hospitali ya Wilaya Tukuyu (Million 300), Ukarabati na ujenzi wa majengo mapya Hospitali ya wilaya Tukuyu (Billion 1)

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa