• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE INAVYOWAJALI WATU WAKE

Imewekwa Tarehe: July 13th, 2022

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe ipo mbioni kumaliza Ukarabati na  ujenzi wa soko la la kisasa katika eneo la Tandale lililopo kata ya Bulyaga mkabala na uwanja wa mpira ambalo mpaka kumalizika kwake linatarajia kugharimu zaidi ya shilingi million 200.Gharama hizo zitajumuisha ujenzi wa soko hilo jipya, ukarabati wa soko la zamani, miundombinu ya maji safi na taka, umeme, pamoja na barabara.

Mwenyekiti wa kamati ya  uwekezaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bwana Omary Mungi ametaja kuwa soko  hilo litakuwa na vizimba 120 huku wanufaika wengine wakiandaliwa maeneo kuzunguka soko hilo na hivyo kuwa na jumla ya wanufaika 401.

Amenye  Mwaigwisya ameishukuru Serikali kwa kuwajengea soko hilo na kuwa  kwa sasa wataepukana na adha ya kunyeshewa na mvua pamoja na usalama wa mali zao.

Aidha bibi Ashura Mwaigwisya amepongeza kwa hatua nzuri iliyofikiwa na kuwa wataendelea kulipa kodi ya serikali ili kutoa fursa ya kuendelea kulikarabati soko hilo mara kwa mara na kutoa huduma zingine.

Soko la Tandale hudumu kwa siku zote saba za wiki pamoja na gulio kwa siku ya jumatatu na alhamisi.Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imeendelea na ujenzi pamoja na ukarabarti wa masoko yake mbalimbali  ikiwa ni hatua muhimu ya kuboresha mazingira mazuri ya biashara kwa Watanzania.

Masoko hayo ni pamoja na Kiwira, Tukuyu stendi, Mwambenja, Ibililo,  Soko la Wamachinga mkabala na Mamlaka ya Mpato Tanzania-(TRA) pamoja na soko la  Nzunda ambalo linajengwa na Serikali ya kijiji hicho  kwa kutumia mapato yake ya ndani.

Pamoja na hayo Halmashauri ipo mbioni kujenga soko la kimataifa la ndizi katika kijiji cha Kiwira pamoja na viazi katika kijiji cha Mbeye one kata ya Isongole na ghala la kununulia na kukusanyia  kakao katika kijiji cha Lwifwa kata ya Kisiba.

Kumalizika kwa masoko haya kutafungua fursa kwa wafanyabiashara kununua bidhaa kwa urahisi, serikali kukusanya mapato yake kwa urahisi sambamba na kuimarisha mifumo ya upatikanaji wa takwimu za mazao ya kilimo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa