• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

HALMASHAURI YA ( W) RUNGWE YAPATA HATI SAFI

Imewekwa Tarehe: May 6th, 2020

HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI

Imefahamishwa kuwa umoja  na mshikamano miongoni  mwa watumishi  wa umma ndiyo njia pekee itakayosaidia halmashauri yeyote kupata  hati safi ya ukaguzi na hivyo kuleta taswira chanya kwa wananchi wake.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila wakati akihutubia kikao cha Baraza la madiwani (baraza la  kujadili hoja za mkaguzi wa nje) lililofanyika katika ukumbi wa chuo cha ualimu Tukuyu ambapo pamoja na mambo mengine ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa kupata hati  safi kwa msimu wa 2018/19.

Aidha mh. Chalamila amewaomba watalaamu wa halmashauri hiyo kuendelea  kuwa wakali  wakati wa   ukusanyaji wa  mapato  huku akisistiza  kuwa vikundi vyote vilivyopata mikopo  ya halmashauri na kushindwa kurejesha kwa wakati vipelekwe mahakamani ili fedha hizo ziweze kutumika  kuwakopesha wanufaika wengine.

Pamoja na hayo Mh. Chalamila ameupongeza utawala wa halmashauri hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa ufanisi mkubwa huku akimpa kongole Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe bibi Loema Peter kwa kusimamia ipasavyo  ujenzi wa  jengo la mama na mtoto lililopo katika hospitali ya wilaya Tukuyu ambalo mpaka mpaka sasa sehemu ya jengo hilo imenza kutumika.

UGONJWA WA CORONA

Akizungumzia maambukizi ya ugonjwa wa corona Mhe. Chalamila ameomba wakazi wa wilaya ya Rungwe kuendelea kuwa watulivu huku wakiendelea kuchukua tahadhari zinazostahiki.

“Ugonjwa huu hauchagui rangi wala kipato cha mtu ndiyo maana siyo rahisi kusikia mgonjwa akiomba akatibiwe nje ya nchi  kote kumeshindikana” alisisitiza.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa