• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

FURSA ZA UWEKEZAJI RUNGWE DC

Imewekwa Tarehe: December 23rd, 2020


Wakazi wa wilaya ya Rungwe wamekumbushwa kuendelea kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji wa mitaji yao kwani  Kwa kufanya hivyo  watapata tija na maendeleo lukuki.


Rai hiyo imetolewa na Afisa Tawala wilaya ya Rungwe bwana Aimu Mwandelile wakati akifungua baraza la biashara mapema Leo katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe ( Mwankenja). "Rungwe ina hali ya hewa nzuri  rutuba ya udongo na maeneo mengi ya uwekezaji  na Kwa kuanzia uwekezaji mkubwa umefanyika katika ziwa masoko/ kisiba ambapo wakazi wa maeneo hayo wameanza kunufaika Kwa kufanya biashara doto  kuzunguka eneo la uwekezaji".


Bwana Mwandelile ameongeza kuwa serikali inaendelea kuimarisha miundombinu rafiki kama barabara na umeme ili kuwezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao Kwa ufanisi mkubwa.
Atupele Mwasalemba mkazi wa kijiji cha Ndubi kata ya Kisondela ameunga mkono kauli ya katibu Tawala Kwa kuona namna itakavyo warahisishia kusafirisha  mazao ya migomba , kahawa na tangawizi kutoka mashambani kwenda sokoni baada ya barabara ya Masebe- Lutete kukamilika Kwa kiwango cha lami.


Furaha ya Mwasalemba inapewa chapuo na wakazi wa kijiji cha Ilenge kwani uwepo wa umeme wa kutosha na ujenzi wa barabara ya lami kuelekea kiwanda cha Rungwe Avocado inawapa ari ya kuzalisha mazao Kwa tija na kuanzisha viwanda vidogovidogo.


Aidha afisa biashara wilaya bwana Yesaya Mwakisole amewaomba wafanya biashara ndogondogo kutofanya shughuli zao maeneo yasiyoruhusiwa kisheria kwani kufanya hivyo wanahatarisha maisha yao ikiwa ni pamoja na kupoteza mapato ya serikali.


" Utaona siku ya gulio la  Tandale  wafanyabiashara wanaweka bidhaa zao katikati ya barabara ya Busokelo hii siyo sahihi" Alisisitiza.


Pamoja na hayo wafanyabiashara wamesisitizwa kuendelea kukata leseni na vitambulisho vya ujasiriamali ili kusaidia na kurahisisha shughuli za biashara.
Halmashauri ya  wilaya ya Rungwe ina fursa nyingi za uwekekezaji  ikiwa ni pamoja na uzalishaji na usafirishaji wa parachichi, ndizi, nanasi, viazi mviringo, chai,  kahawa, cocoa vanilla, iliki, tangawizi, maziwa, samaki, na  nyama ya ng'ombe. Pia ujenzi wa hotel, campsite katika vivutio vya utalii.

 Fursa nyingine ni ujenzi wa viwanda vya kuchakata bidhaa mbalimbali 
Baraza la biashara hujumuisha sekta binafsi pamoja uongozi wa umma na Kwa mshikamano huo imesaidia kutatua changamoto mbalimbali za biashara nchini.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa