• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

DOZI 2000 ZA SNOPHARM ZAWASILI WILAYANI RUNGWE

Imewekwa Tarehe: October 18th, 2021

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bwana Polycarp Ntapanya ameomba viongozi wa Dini pamoja na wale wa  Mila katika wilaya ya Rungwe kuendelea kuwa mstari wa mbele kutoa hamasa kwa jamii dhidi ya chanjo ya UVIKO 19 ikiwa ni hatua muhimu ya kupata kinga madhubuti dhidi ya virus vya Corona na hivyo kupata muda mzuri wa kushiriki shughuli za maendeleo na uzalishaji mali.

Hayo ameyasema wakati wa kikao maalumu cha watalamu wa afya pamoja na viongozi wa dini/ Mila kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri-Mwankeja ambapo pamoja na mambo mengine imearifiwa kuwa Halmashauri tayari imepokea jumla ya dozi 2000 za chanjo ya SNOPHARM.

"Kwa moyo wa dhati kabisa niwaombe viongozi wa mila na Dini nyie muna wafuasi wengi na wanawaamini, Mtusaidie! Ukianza kuchanja wewe nyuma yako itaondoa upotoshaji wote kama upo". amesisitiza bwana Ntapanya.

Aidha Bwana Ntapanya amesisitiza kuwa serikali ina lengo zuri kwa watu wake ikilenga kuwapatia afya bora na stahiki hivyo watu wajitokeze kupata chanjo hiyo ambayo inatolewa bure na serikali.

Dozi mpya ya Synopharm inaanza kutumika hivi karibuni ambapo mtu atachanjwa kwa awamu mbili moja baada ya siku 21 tofauti na ile ya Janseen Johnson ambapo mnufaika anadungwa kwa mara moja tu.

Katika wilaya ya Rungwe asilimia  97% ya dozi ya Johnson iliyopokelewa tayari imewafikia wanufaika na kudungwa na hivyo kupata kinga dhidi ya virus vya CORONA.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa