• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

Imewekwa Tarehe: April 16th, 2025

Chanzo ya Ugojwa wa Polio inatarajiwa kutolewa katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Kuanzia  Mei Mosi  mwaka 2025


Huu ni mfululizo wa chanjo ambapo imekuwa ikitolewa katika vipindi tofauti


Chanjo ya Polio hutolewa kwa watoto mara tu wanapozaliwa na kuendelea kutolewa mara wanapofikia umri wa miaka 6,  10 na 14


Lengo la chanjo hii ni kuimarisha kinga dhidi ya ugonjwa wa polio nchini.


Chanjo ya Polio hutolewa kwa watoto ikiwa ni nyenzo madhubuti ya kuwakinga na ugonjwa wa Kupooza.


Ugonjwa wa kupooza(Polio) huambukizwa na Virusi vijulikanavyo kwa jina la POLIOVIRUS


Ugonjwa huu unaweza kumpata mtu yeyote ila watoto huathirika zaidi.


Virusi vya Polio humwingia mtu kupitia chakula,au maji yaliyochafuliwa


Virusi vya ugonjwa huu hukaa kwenye utumbo wa binadamu na kuzaliana kwa haraka na baadaye hushambulia mishipa ya ufahamu


Mishipa ikiathirika huchoche sehemu au mwili mzima kupooza.


UTOAJI WA CHANJO KUANZIA MEI MOSI 2025


Chanjo itatolewa kupitia vituo vya kutolea huduma ya afya na ziara za Mkoba ambapo hutembelea kaya kwa kaya.


Watalamu wa afya wameendelea kushauri mtoto anapofikisha umri wa wiki 14 anatakiwa kupewa Dozi  ya kwanza na Dozi ya Pili itolewe mara anapofikisha umri wa miezi 9


Habari hii  na nyingine nyingi inapatikana kupitia www.rungwedc.go.tz

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa