• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

CHANGIA CHAKULA SHULENI

Imewekwa Tarehe: June 16th, 2022

Rungwe District Counci l

.Diwani wa kata ya  Kiwira Mhe. Klait Mwamwimbe amehamasisha wakazi wa kata ya Kiwira kuendelea kuchangia chakula shuleni ikiwa ni hatua muhimu ya kuongeza lishe kwa wanafunzi sambamba na kuongeza kiwango cha ufaulu.

kiwa katika mkutano wa wazazi shule ya msingi Ilundo Mwamwimbe ametaja kuwa uchangiaji wa chakula unaoendelea katika kata hiyo umesaidia kuongeza kiwango cha ufaulu na kwa kufanya hivyo kila mzazi anatakiwa kuhakikisha kuwa suala hilo linakuwa endelevu ili kuboresha afya bora ya watoto ili kutokomeza utapiamlo na udumavu katika kata hiyo.

Amesema katika msimu uliopita kata hiyo imeongoza katika ufaulu huku shule ya msingi Kiwira na Mpandapanda zikiongoza kufaulisha na kupeleka wanafunzi katika shule zenye vipaji maalumu kitaifa ambapo pamoja na mambo mengine hali hii imechangiwa na uhakika wa chakula cha mchana katika shule hizo.

"Malengo yetu ni kuhakikisha shule zote zinafanya vizuri na hili litawezekana iwapo kila mzazi atachangia chakula shuleni" Ameongeza.Mtendaji wa kata ya Kiwira Bwana Noel Mng'ong'o amearifu kuwa katika shule zote 12 za Msingi pamoja na sekondari 04  za Serikali , uchangiaji wa chakula shuleni umeazimiwa kuwa ni suala la lazima kwa kila mzazi na kushindwa kufanya hivyo Mzazi atalazimika kutoka mifuko 03  ya saruji ikiwa ni adhabu, saruji itakayosaidia kuboresha miundombinu ya shule.


Wakati huo huo Afisa Ustawi wa jamii Wilaya ya Rungwe Bi. Eliza Maembe ametaja kuwa Kushindwa kuchangia Chakula Shuleni kunapelekea wanafunzi hasa  jinsia ya kike kujiingiza katika makucha ya ukatili wa kijinsia kwa kujiingiza katika makundi ya kupata njia mbadala ya kupata chakula na hivyo kupewa fedha na watu wasio stahili ili kuweza kujikimu kila siku na hivyo kusababisha kupata mimba za utotoni, kufukuzwa shule, na kupoteza ndoto zao za maishaZaidi ya asilimia 50% ya wanafunzi katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe (shule za msingi) hupata chakula cha mchana shuleni, hali hii imesukuma mbele matokeo ya mtihani wa taifa darasa la Saba  2021 ambapo Rungwe ilishika nafasi ya pili kimkoa kwa asilimia 90.6% huku shule za umma kama Kyimbila, Ndaga, Bagamoyo, Magereza, Kiwira, Mpandapanda, zikifanya vizuri zaidi


























































































































































Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • FURSA YA UTALII RUNGWE

    June 07, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI VYANZO VYA MAJI YAHAMIA KIWIRA

    May 31, 2025
  • UTEKELEZAJI WA ILANI WAWASILISHWA

    May 30, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAKAGUA MIRADI

    May 30, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa