• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

Imewekwa Tarehe: May 2nd, 2025

Shirika lisilo la Kiserikali la BLAC Maendeleo Kwa Kushirikiana na Master Card Foundation  kupitia Mradi wa AIM (Accerelating Impact for young  Women and Aidolescent Girls) wamehitimisha Mafunzo yao kwa Wahitimu 1500 kutoka katika kata Nne ndani ya Halmashauri ya Rungwe


Kata hizo ni pamoja na Mpuguso, Ilima, Msasani na Makandana


Wahitimu wamepewa vyeti ikiwa ni ishara ya kutambua ushiriki wao


Mradi Umelenga Kumwezesha Mwanamke  kijana kuweza kujipatia kipato na hivyo kuepukana na hali ya utegemezi katika jamii.


Pia mradi umetoa mafunzo kwa vijana wa kiume ili kuleta usawa katika jamii.


Shirika hili lililoanza kutoa huduma yake kwa jamii toka mwaka 2024 limejijengea heshima kwa kutoa elimu ya ujarisiliamali kwa Wanawake na vijana, Ufugaji, Kilimo, Ufundi Stadi, Elimu ya Matumizi ya fedha na Mchanganuo wa Biashara.


Kupitia Elimu hii Wanawake wengi wamejikwamua katika Makucha ya Umasikini na hivyo kujipatia maeneo endelevu.


Haya yamethibishwa na Anana Kajela mkazi wa Makandana ambaye kutokana na elimu ya Biashara aliyopata amebahatika kuanziasha duka, Mgahawa na Ufugaji wa Nguruwe.

Naye Bi Anastazia Amanyisye Mkazi wa kata ya Ilima ameishukuru taasisi hii kwani alipoanza kupata mafunzo imemsaidia kupata uelewa dhidi ya Matumizi ya pesa hatua iliyomsaidia kuwa na bajeti nzuri ndani ya kaya yake


Nao Wanafunzi kutoka katika Shule ya sekondari Ilima wakiimba wimbo wao walishukuru shirika kwa kuwapa elimu balehe, kupambana na vitendo vya ukatili sambamba na namna ya kushiriki shughuli za uzalishaji mali shuleni na nyumbani.

Aidha Bi Agatha Mwega Meneja Mradi wa Blac Maendeleo ametaja kuwa  Mradi umefanikiwa kuwezesha kiuchumi Wanawake 341 katika sekta zifuatazo


Kilimo 90

Ufugaji 97


Ufundi Stadi  30


Biashara ndondogo  124


Bi Agatha ameyataja Mafanikio yaliyopatikana ndani ya Mwaka mmoja kuwa ni pamoja Kufingua Clup space 12 ambazo zimesaidia wanawake na vijana balehe kujengeana uwezo na uelewa wa mambo mbalimbali ya uchumi na ustawi wa jamii


Aidha Kamati ya Maendeleo ya vijana (YDC) imeanzishwa kwa kushirikiana kwa kushirikiana na watendaji wa vijiji ambapo kuibua na kuwasaidia vijana katika changamoto mbalimbali.


Wanufaika wqmefundishwa kwa kutumia mtaala maalumu dhidi ya :

✓Namna bora ya kuishi na jamii na kuchagua marafiki wazuri

✓Namna bora na Sahihi ya kutunza fedha na kuwa na mchanganuo wa biashara

✓Namna sahihi ya kuibua na kupinga vitendo vya kikatili na kuripoti katika mamlaka husika ili kuvitokomeza


Village Saving Loan Associaon (VSLA) Ambvyo ni vikundi vya kuweka akiba na  kukopeshana 17 vimeanzishwa na kubahatika kufikisha mtaji wa shilingi Million 6,312,000/=


Mradi pia umesaidia kuwaunganisha  Wanufaika wa wafunzo na  watalamu wa sekta ya kilimo, Mifugo na Maendeleo ya jamii ili kuwapa usaidizi katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa