• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

BARAZA LA ROBO YA NNE LAKETI RUNGWE

Imewekwa Tarehe: August 4th, 2023

Kikao cha Baraza la Madiwani  kwa robo ya nne mwaka wa fedha 2022/ 23 kimeketi leo tarehe 04 .8.2023.


Katika kikao hiki Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga ameeleza kuwa katika Kipindi hicho cha miezi mitatu kuanzia Mwezi Apri-June Halmashauri   imekusanya kiasi cha Shilingi 1,744,352,376.61 sawa na asilimia 113.8% ya makisio ya Sh.1,532,865,000 ya kipindi hicho cha miezi mitatu.


Hata hivyo kuanzia mwezi Julai  mwaka 2022 mpaka June 2023 (Mwaka mzima)  jumla ya mapato yaliyokusanywa ni shilingi Billion  6,351,796,244.32 sawa na asilimia 104% ya makisio ya Mwaka mzima ya TZS Billion 6,131,460,000.00


Makusanyo hayo mazuri yametokana na Ushirikiano na Mshikamano mkubwa uliopo baina watumishi wa umma pamoja na wakazi wa Wilaya ya Rungwe na Tanzania kwa ujumla.


Mhe..Mwankuga ameeleza kuwa fedha za makusanyo zimesaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Daharia (Hosteli) ya Wasichana katika shule ya sekondari Masukulu, Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa na zahanati, ukarabati wa machinjio na  ulipaji wa stahiki mbalimbali za watumishi.


Aidha Baraza kwa pamoja limepitisha Azimio la  Kumpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kwa kuipatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya ya Rungwe.


Fedha hizo zimesaidia katika Ujenzi wa kituo cha afya Iponjola, Kyimo na Ndanto.Aidha fedha hizo zimesaidia katika ujenzi na ukamilishaji wa vyumba vya madarasa na zahanati, barabara, maji na Umeme Vijijini.


Mathalani kupitia Mpango wa BOOST Serikali imetoa kiasi cha shilingi Million 970 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za msingi ikiwa ni pamoja uanzishwaji wa shule mpya tarajali ya Kibumbe kata ya Kiwira


Pamoja na hayo Serikali imetoa kiasi cha shilingi million 583 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari kata ya Lupepo, Million 100 ujenzi wa nyumba za walimu shule ya sekondari Msasani na Million 206 ujenzi wa Bweni na madarasa katika shule ya sekondari Wavulana Rungwe.


Katika kikao hiki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Rungwe Ndg.  Renatus Mchau  ameliarifu Baraza kuwa Halmashauri imenunua vishikwambi kwa ajili ya uendeshaji wa Baraza kwa kila Diwani hatua itakayorahisisha shughuli za Baraza pamoja na kupunguza gharama ya ununuzi wa machapisho.


Katika hatua nyingine Baraza limepitisha jina Mhe.Samwel Mwakasege  Diwani wa Kata ya Matwebe kuwa Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kwa kipindi cha mwaka 2023/24


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa