• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

BARAZA LA MADIWANI ROBO YA KWANZA LAKETI

Imewekwa Tarehe: October 28th, 2022

Mbele ya Kikao Cha Kawaida Cha  Baraza la Madiwani kwa robo ya Kwanza kwa Mwezi Julai, Agosti na Septemba Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mhe.Mpokigwa Andimile Mwankuga amearifu kuwa  katika kipindi hicho Halmashauri imepokea kiasi Cha Shilingi Million 654 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.


Fedha hizo zimeendelea kutumika kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma kwa jamii.


Miundombinu hiyo ni pamoja na

1.Million 114 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya walimu Kyobo Sekondari.


2.Million 140 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya Msingi Mpandapanda (Million 40) na Million 100 ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya Msingi Goje.


3.Million 200 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni mawili Kisondela Sekondari.


4. Million 200 kwa ajili ya ujenzi vyumba 10 vya madarasa kwa shule za Sekondari hii ikiwa ni kusaidia kwa wanafunzi watakaofaulu mtihani wa Darasa la Saba na kujiunga na kidato Cha kwanza 2023.


Aidha Katika kipindi hicho Halmashauri imekusanya kiasi Cha shilingi Billion 1,645,763,661.43 sawa na asilimia 107% ya makisio ya Shilingi 1,532,865,000.00.


Mapato hayo ni sawa na asilimia 27% ya makisio ya mwaka mzima ya Shilingi Billion 6,131,460,000.00


Mapato hayo yametoka  na  vyanzo vifuatavyo: Ushuru wa mazao, Mapato kutokana na Hisa,  Leseni na ushuru mbalimbali, ada ya ushuru, Mapato kutokana na Mali za Halmashauri,ICHF na ada za shule, ushuru kutokana na Mali asili.


Mapato hayo yamesaidia uboreshaji wa vituo vya kutolea huduma kama elimu na afya pamoja na shughuli zingine za utawala.


Awali Jana katika Kikao Cha Baraza la Kazi Mhe.Mwankuga aliagiza  WATENDAJI wa kata zote 29  wakishirikiana na Waheshimiwa Madiwani kuendelea kukusanya mapato kwa kasi  na weledi na kuzuia mianya yote inayochangia watu wasio waaminifu kutorosha mapato ya Serikali.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa