• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Baraza la la madiwani la kazi la jadili kwa kina utendaji wa kazi kwa watendaji wa kata za Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.

Imewekwa Tarehe: February 27th, 2019

Baraza la Kazi  Madiwani  limefanya mkutano wake wa kawaida tarehe 27/02/2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.

 Mkutano huo ulijadili taarifa mbalimbali za maendeleo katika kata za Wilaya ya Rungwe pamoja na taarifa ya kata ya ambazo hazikukusanya vizuri mapato ya ndani na kutofikia asilimia 50 kwa robo ya pili kuanzia mwezi oktoba hadi disemba 2018.

Katika kujadili taarifa za maendeleo katika kata ambazo ziliwasilisha  taarifa zake katika Mkutano huo wa Baaza la kazi, Kata ya Ibigi taarifa iliwasilishwa na  Diwani wa Kata hiyo Mh.Lusubilo Simba. 

Katika taarifa ya kata jiyo hiyo iliyo ilieleza mambo ya utawala bora, taarifa ya mapato na matumizi, miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kata, ulinzi na usalama, afya na utunzaji mazingira, elimu, kilomo na mifugo na changamoto mbalimbali katika kata.

Aidha Kata ya Ibigi ina miradi mitano (5 ) ya maendeleo inayotekezwa katika kata ambayo ni miradi wa maji Katumba -Tukuyu wenye gharama ya 387,334,410/= chanzo cha fedha ni Serikali Kuu na miradi huu bado haujakamilika.Mradi wa ujenzi wa barabara solo mjinga-mafulasopo, utengenezaji wa madawati 144 shule ya sekondari Lupoto wenye gharama ya tsh 10,080,000/= chanzo cha fedha ni nguvu za wananchi,miradi wa nne ni ujenzi wa kituo cha afya ambao unatarajiwa kuanza kujengwa kwa sasa wananchi wameshaandaa eneo hilo kwa kulisafisha.Miradi mwingine ni ukarabati wa madatasa while ya msingi Katumba 1ambao una gharama ya 1,500,000/=  chanzo cha fedha ni EP4R na sasa ujenzi huo upo hatua ya kupaua. 




Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa