• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

BARAZA LA WAFANYAKAZI LAJADILI RASIMU YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Imewekwa Tarehe: January 16th, 2025

Baraza la Wafanyakazi katika Halmashauri ya Rungwe limeketi leo tarehe 16.1.2025 likijadidili rasimu ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/ 2026


Baraza hili hujumuisha viongozi mbalimbali kutoka vyama vya wafanyakazi  pamoja na watalamu mbalimbali

Baraza pamoja na mambo mengine limeshukuru mafanikio yaliyofikiwa kwa mwaka wa fedha 2024/ 25.


Mafanikio hayo ni pamoja na  kupandisha vyeo jumla ya watumishi 851 huku watumishi 179 wakipata ajira katika Halmashauri


✓Upatikanaji wa dawa na vitendanishi umefikia mpaka asilimia 95% katika vituo vyote vya kutolea huduma


✓Aidha jumla ya vituo 03  vya vya afya (Kinyala, Iponjola na Ndanto) Vimefunguliwa na hivyo kufikisha vituo 09 huku kituo cha Kiwira, Masoko, Malindo na Masebe ujenzi wake ukiendelea.

✓Halmashauri imefungua shule Mpya mbili za sekondari (Lupepo na Isaka)  pamoja na tatu za msingi (Umoja, Ushirika na Chifu Mwanjali)


✓Pia imefanikiwa kujenga mabweni mawili katika shule ya sekondari Kisondela , Moja katika shule ya Lupoto , Rungwe , Tukuyu na Masukulu.


✓Ufaulu kwa darasa la saba  umeongezeka kutoka aasilimia 93.2% mwaka 2022 mpaka asilimia 95.5% mwaka 2023

-Kidato cha nne kutoka asilimia 94% mwaka 2022 mpaka asilimia 95% mwaka 2023

-Kidato cha sita kutoka asilimia 99.09% mwaka 2022 mpaka asilimia 100 mwaka 2023.


✓Halmashauri imeweza kukusanya Mapato ya ndani  kiasi cha shilingi 7,427,096,607.30 sawa na asilimia 103 ya makisio yaliyowekwa ya shilingi 7,179,615,400.00

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa