• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

BADO SIKU 06 ZOEZI SENSA YA WATU NA MAKAZI

Imewekwa Tarehe: August 16th, 2022

BADO SIKU 06 TU KUFANYIKA  ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAZI


"Utoaji wa takwimu sahihi utarahisisha Serikali kupanga mipango yake endelevu kwa wananchi wake kama kuwajengea barabara, zahanati, shule na maji kulingana na idadi yao na kiwango cha uchumi wao"


Hayo ni maneno ya Isaka Mwambepo mkazi wa Kyimbila kata ya Msasani Wilayani Rungwe.


Zoezi la sensa ya watu na makazi linatarajia kufanyika siku ya jumanne  tarehe 23.8.2022  na litahusisha utoaji wa taarifa sahihi dhidi ya mtu aliyelala katika kaya husika au kaya za jumuiya kama gereza, hospitali, vituo vya watoto yatima, mabweni ya wanafunzi, stendi za garimoshi, mabasi, viwanja vya ndege, bandari, Kambi za wavuvi na wapasua mbao.


Taarifa zitatolewa kwa karani wa sensa kwa kutumia utaratibu ulioandaliwa na kamati ya sensa ngazi ya  Wilaya,  Kijiji, mtaa/kitongoji na shehia kwa upande wa Tanzania visiwani.


Mkuu wa kaya atatakiwa kuhakikisha anakuwa na taarifa muhimu za watu wote kama umri, elimu, jinsi, hali ya ndoa, umiliki wa kitambulisho cha taifa na shughuli za kiuchumi.


Siku ya tarehe 23/8/2022  karani wa sensa ataongozana na Mwenyekiti au kiongozi wa Serikali ya mtaa/ kitongoji katika kaya akiwa na kitambulisho Cha karani wa Sensa na Dodoso la Sensa lililowekwa katika kifaa Cha kielektroniki kiitwacho Kishikwambi ( Tablet) na kuuliza maswali yatakayojibiwa na Mkuu wa kaya.


Iwapo mkuu wa kaya hatakuwepo mtu mingine yeyote mzima katika kaya na mwenye taarifa sahihi kuhusiana na kaya husika dhidi ya watu waliolala katika kaya husika atasaidia kujibu maswali kwa niaba ya Mkuu wa kaya.


Ikumbukwe kuwa taarifa zitakazotolewa na Mkuu wa kaya kuwa ni SIRI na zitatumika kwa madhumuni ya takwimu/ Sensa tu.


Usikose kusikiliza kipindi cha Sensa kwa Maendeleo kesho tarehe 17 .8.2022 kupitia Rungwe FM  102.5 MHz saa 12:00 jioni.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa