• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

ASANTE MAMA KWA KUTEKELEZA AHADI YAKO KWA WAKATI

Imewekwa Tarehe: August 15th, 2022

Kata ya Kiwira imekabidhiwa hundi ya kiasi cha shilingi Million 10 ikiwa ni ahadi aliyoitoa Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alipofanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe na kuzungumza na wananchi wa kata hiyo mapema siku ya jumapili  tarehe 07.8.2022.

Katika ziara hiyo Mhe. Rais aliahidi kuichangia kata hiyo kiasi cha shilingi Million 10 ikiwa ni juhudi ya kuunga mkono nguvu za wananchi huku akiagiza wizara ya TAMISEMI kuhakikisha inakipelekea kituo hicho fedha za ziada  ili kukamilisha ujenzi mapema.

Akikabidhi hundi hiyo, Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe.Dkt Vicent Anney amemshukuru Mhe. Rais kwa hekima aliyoionesha kwa wakazi wa kata hiyo kuwa kwa kufanya hivyo changamoto ya matibabu itaenda kumalizika kwa kufuata huduma ya afya umbali mrefu hususani kwa Mama na watoto.

Aidha ameagiza kamati ya ujenzi, na mapokezi kufanya kazi kwa weledi ili kazi hiyo imalizike kwa wakati na hivyo  kutoa fursa ya kituo kuanza kutoa huduma mapema zaidi.

Wakati huohuo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga ameahidi kuwa Halmashauri itatoa kiasi cha Shilingi Million 10 ikiwa    juhudi za Kummunga mkono Mhe.Rais kwa moyo wa upendo kwa wakati wa kata ya kiwira aliouonesha.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bwana Renatus Mchau ameahidi kusimamia ipasavyo ujenzi wa kituo hicho na kumalizika kwa wakati ikiwa ni juhudi ya kuhakikisha wakazi wote wilayani Rungwe wanapata huduma ya matibabu  stahiki katika maeneo yao na hivyo kupata afya bora itakayowawesha kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo nchini.

Naye Diwani wa kata hiyo Mhe. Michael Mwamwimbe amemshukuru Mhe. Rais kwa msaada huo alioutoa na kuwa ataendelea kuwaunganisha wananchi wote bila kujali itikadi ya vyama vyao na hivyo kupanua wigo wa maendeleo kwa wakazi wa kata hiyo.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rungwe Bwana Sam Mwakapala ameongoza Harambe kwa ajili ya Ujenzi wa kituo hicho ambapo jumla ya shilingi laki 2.1 zimekusanywa huku akisisitiza wakazi wa kata hiyo kushikamana na kuachana na siasa za kubaguana kwa itikadi ya vyama hali itakayochochea kurudi nyuma kimaendeleo.

"Daima CCM inatekeleza ilani yake kwa vitendo na matunda ndiyo haya mnayaona na niwaahidi UVCCM itakuwa bega kwa bega kuhakikisha kituo hiki kinakamilika kwa wakati" amesisitiza.

Halmashauri ya Rungwe imejenga vituo vingi kwa ajili ya kutoa huduma ya matibabu kwa watu wake. Vituo hivi ni pamoja na Ikuti, Mpuguso, Isongole, Kalebela na Masukulu. Vituo ambavyo vipo katika hatua ya ukamilishaji ni pamoja na Iponjola, Kyimo, Ndanto,  na Swaya.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa