• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

NAMNA YA KUFAULU MTIHANI

1.Hakikisha kazi yako inakuwa safi/ nadhifu ili kumvutia msahihishaji.

2. Amini kuwa majibu yako ni sahihi zaidi, usidhani ya jirani yako ni sahihi kuzidi yawezekana ndo amekosea zaidi kukuzidi wewe. Jiamini kuwa wewe unaakili kuzidi jirani yako.
3. Hakikisha michoro yote unachora vizuri kwa usafi kwani ina nafasi kubwa kukuongezea alama na ushindi.
4.Hakikisha unamaliza maswali yote kadri ulivyoelekezwa kwani kushindwa kufanya hivyo ni ngumu kupata alama za juu za ushindi.
5.Ukiingia kwenye chumba cha mtihani usianze kufanya mtihani, tulia, vuta pumzi, jinyoshe, sikiliza maelekezo ya msimamizi wa mtihani, kisha pitia maswali yote kwa usahihi na rudiarudia tena kupata dhana (concept) halisi na mbinu zilizofumbwa.
6.Chukua kalamu yako na tiki maswali yote unayojua.
7 Anza na maswali unayoyajua kisha malizia na maswali magumu.
8. Ikiwezekana fanya maswali yenye maksi nyingi zaidi kabla  ubongo haujachoka na unakumbuka vitu vingi na kisha malizia yenye maksi hafifu.
9.Usiingie na makaratasi (cheating aid) yenye sura ya udanganyifu kwani unaweza kufutiwa matokea na kuharibu maisha yako.
10. Kwa somo la HESABU unapoanza  mtihani, andika kanuni/ fomular muhimu zote nyuma ya karatasi kwa hiyo itakuongezea kujibu maswali kiurahisi.
11.Usijali kama wengine wanamaliza kabla yako, yawezekana wameshindwa sasa wewe una nafasi ya kupata ushindi.
12. Usiigilizie/ Kunakili kwa jirani yako majibu yawezekana  mwanafunzi kando yako amejibu visivyo.
13. Ukiwa na muda, angalia mtihani/ majibu yako tena. Tafuta makosa uzembe.
14. Usipolijua jibu liruke halafu rudi baadaye. mara nyingine unaweza kutafuta jibu katika vipande vingine vya mtihani.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa