• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Tangazo la Ajira

18 September 2019

YAH: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kufuatia Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kupata kibali cha ajira Mbadala Kumb.Na.FA.170/364/01/131 cha tarehe 05 Agosti, 2019 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma kuhusu ajira mpya, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe anatangaza nafasi za kazi na anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi kama zilivyoorodheshwa katika tangazo hili:-

MASHARTI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE

Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45

Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.

Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.

Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka au kupotea.

Certificates.

Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI

Computer Certificate

Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)

Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.

Hati za Matokeo za kidato cha nne na cha sita (Form IV and Form VI RESULTS SLIPS) HAZITAKUBALIWA. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na  kuidhinishwa na Mamlaka husika (NECTA).

    

Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika Utumishi wa umma waombe kwa kuzingatia maelekezo yaliyomo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010 (Wapitishe maombi yao kwa Waajiriwa wa sasa). 

Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

Mwisho wa kupokea barua za maombi ni 30/09/2019

Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kii ngereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo:-

MKURUGENZI 

HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE

S.L.P. 148

TUKUYU/RUNGWE


KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III (PERSONAL SECRETARY III) NAFASI MOJA (1).

 

MAJUKUMU YA KAZI

Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida;

Kupokea wageni, kuwasahili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.

Kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika Ofisi anamofanyia kazi na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.

Kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada/nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo Ofisini.

Kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu Taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao

Kusaidia kupokea majalada kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu alipo, na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.

Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

 

SIFA ZA MWOMBAJI 

  • Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne (Form IV) waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa hatua ya tatu.
  • Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno yasiyopungua 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya kompyuta kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali na kupata Cheti katika program za windows, Microsoft office, internet, e-mail na publisher.

MSHAHARA 

  • Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.

AFISA MTENDAJI WA KIJIJI III(VILLAGE EXECUTIVE OFFICER III) ­– NAFASI MOJA (1)

 

MAJUKUMU YA KAZI

 

  • Afisa Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji
  • Kusimamia Ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimazi wa Utawala Bora katika Kijiji;
  • Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya kijiji;
  • Katibu wa Mikutano na Kamati zote za Halmashauri ya Kijiji;
  • Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
  • Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa  na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali;
  • Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalam katika Kijiji;
  • Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za Kijiji;
  • Kupokea, Kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi.
  • Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji.
  • Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita(VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

MSHAHARA

  • Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.

Imetolewa na


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa