• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE YAVUKA MALENGO CHANJO YA POLIO

Imewekwa Tarehe: September 27th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imefanya vizuri katika zoezi la chanjo ya polio ambapo zoezi hili limefanyika katika takribani mikoa   Mitano ya Tanzania bara


Mikoa iliyoshiriki zoezi la chanjo ni pamoja na Mbeya, Katavi, Rukwa, Songwe, Kigoma na Kagera


Rungwe imechanja kwa asilimia 132.40%  huku ikiwafikia watoto walio chini ya umri wa miaka 8 wapatao 114,832 na awali malengo yalikuwa kuchanja watoto 86,732 na hivyo chanjo imevuka malengo kwa asilimia 32.


Rungwe imeshika nafasi ya Pili baada ya Halmashauri ya Chunya huku ikifuatiwa na Mbeya jiji.


Katika zoezi hili Mkoa wa Mbeya umechanja jumla ya watoto  766,850 sawa na aslimia 124.82%


Mafanikio haya yametokana na ushirikiano mzuri kati ya Wananchi, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Watalamu wa afya, Vyombo vya habari na Wadau mbalimbali


Ugonjwa wa POLIO ambao kwa mara ya Mwisho Tanzania ilipata Mgonjwa wake mwaka 1996 hivi karibuni katika hatua nyingine Mgonjwa amegundulika Sumbawanga Mkoani Rukwa.


POLIO NINI?


POLIO ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya polio (poliovirus)


Ugonjwa huu humsababishia Mgonjwa kupooza  viungo vya mwili na hatimaye kifo


Virusi vinaweza kuingia kwa njia ya mdomo kwa kunywa maji au chakula ambacho kimechafuliwa na kinyesi kutoka kwa mtu aliyeambukizwa na virusi hivyo


POLIO haina tiba lakini inaweza kuzuiliwa kwa kupata chanjo ya polio ya matone au sindano (IPV).


Ikumbukwe kuwa  chanjo ya Polio haina madhara yoyote. Mtoto anaweza kupata chanjo ya polio  mara nne au zaidi ili kuimarisha kinga dhidi ya ugonjwa huu.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa