Friday 29th, March 2024
@Tukuyu
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ilipokea Mwenge wa Uhuru tarehe 07/09/2019 na kukabidhi kwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya tarehe 8/09/2019. Mwenge wa Uhuru ulikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, jumla ya Miradi yote ilikuwa ni 11. Miradi hiyo ni ya Elimu, Maji, Barabara,Utawala, Afya, Mapambano dhidi ya Ukimwi, Mapambano dhidi ya Rushwa,Kilimo,Viwanda na Uwekezaji, shughuli uinuaji uchumi kwa Wanawake, Watu wenye Ulemavu na vijana.11 iliyotembelewa.
Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB
Sanduku la Posta: Box 148
Simu: 025 255 2586
Simu ya Kiganjani:
Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz
Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa